Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,621
- 69,358
Nimeona nimeona hakika wazee wanafaidiHahahahaha picha za Avatar zina akisi...😃😃😃
Nimeona nimeona hakika wazee wanafaidiHahahahaha picha za Avatar zina akisi...😃😃😃
Unachochea moto kwny petrol...😂😂😂Bas bhana rangi matata
Shape Sio zile zinazooneka mtu akikaa tu akisimama haipo
Ngoja niishie hapa Mjomba😂😂
Kweli kabisa 😍😍😍😍hawawezi kukuja hapa wamama tumetulia zetu hatuna makelele
Hairstyle 5/5 🔥
Ametak jasho mm nammwagia maji kabisa😂😂😂Unachochea moto kwny petrol...
Chocolate color sio poa ☺️Unachochea moto kwny petrol...
Haha nimejitolea kuwa balozi wenu kuwatetea.😍😍😍hawawezi kukuja hapa wamama tumetulia zetu hatuna makelele
Acha tu nduguHairstyle 5/5 🔥
Mtoto babyface 🔥🔥🔥
Ila na wewe una vitu Aaliyyah ☺️Ametak jasho mm nammwagia maji kabisa😂😂😂
Njoo kacheka hapaDuh tanesco washakata umeme jamani ngoja niende bar kulewa saii nani yupo kigamboni hapa twende tukale bia 😎
Malalamiko hayawezi kuisha halafu wanawake tunabadilika kutokana na mazingira, kwwnye stress tunachuchuka vibaya mno, mfano ni enzi zile zari kapigwa tukio na dai, halafu mtizame saiv karudi kuwa msupuHaha nimejitolea kuwa balozi wenu kuwatetea.
Mko vyedi;
Nadhani hawajai kukutana na nyinyi
Kusingekua na malalamiko hakika
Sura zenu za upole sana mbonaUnachochea moto kwny petrol...
Sura zenu za upole sana mbona
Umeongea ki ukubwa mnooo...Kweli wanawake sie ni maua, kila moja linavutia kivyake ukiona hili utataka ulichume
Malalamiko hayawezi kuisha halafu wanawake tunabadilika kutokana na mazingira, kwwnye stress tunachuchuka vibaya mno, mfano ni enzi zile zari kapigwa tukio na dai, halafu mtizame saiv karudi kuwa msupu
Mjukuu mm na uzee huu 😂😂