Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni rahisi sana. Alishanifundisha, sema nikasahau mambo mengi tena.

1. Unatuma picha kama kawaida. Full image. Unaipost

2. Kuifuta unaenda edit, remove or delete. Halafu umasave.
Finito Madonna 😅😅😅😆
Kunakuwa na option 2 pale thumb nini na hiyo full image, mi huwa nachagua full image ndo yakanikuta yale ya jana, sasa nikiona mnairudia rudia hiyo full image napata mashaka bado
 
Hahaha!

Ni vizuri kutukumbusha mnywanii kuna wazee wengine wadeadly eti!

Kati ya watu waso waoga ni Mimi mnywani!
Pale kibeta
Kuna hotel nilichukuaga
Kuna kadingi kaliingia na mzigo nikajisemea huyu mzee ataweza hizi pukurushani za ili zigo.

Baada ya dk kazaa
Korido Zima lilikuwa linalindima kwa yowee

Sema siku iyo ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kula chabo
 
Back
Top Bottom