Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,288
- 79,929
Taifa La Mungu Tumsifu Yesu Kristo
Tajiri habari za asubuhi uishi sana tajiriiiii huna baya sisi watu wa kigamboni tunakusalimia sanaSiyo tu kuniambia kafanya na zaidi ya hivyo. Acha kumtajataja babe wangu, atajing'ata. Kwanza Selfika hapo tukuone, yaliyomo yamo?
Mbona siku njema ya haraka hivyo unaenda wapi kwenye vikao vya wastaafu?😅😅
kichotara kimetulia acha atuwakilishe
Asante Monk na kwako pia siku njema
Ni heri tu nashukuru sana na leo nina siku ndefu kweli kama umejuaNakuatakia siku njema ili Kila kitu kuende salama, Kila jema urakaloweka mkono wako lifanikiwe. Au nilitakiwa niseme asubuhi njema?
Naenda kupata kajua ka asubuhi huku nasomasoma ka kitabu Kwa pembeni.
View attachment 3099346
Na wewe acha kuwataja taja waume wa wenzioSiyo tu kuniambia kafanya na zaidi ya hivyo. Acha kumtajataja babe wangu, atajing'ata. Kwanza Selfika hapo tukuone, yaliyomo yamo?
Mkuu hivi vitabu ni kwaajili ya matajiri sisi wengine tunasoma namba na siyo vitabuNakuatakia siku njema ili Kila kitu kiende salama, Kila jema utakaloweka mkono wako lifanikiwe. Au nilitakiwa niseme asubuhi njema?
Naenda kupata kajua ka asubuhi huku nasomasoma ka kitabu Kwa pembeni.
View attachment 3099346
Tajiri hana baya tajiriTajiri habari za asubuhi uishi sana tajiriiiii huna baya sisi watu wa kigamboni tunakusalimia sana
Mie naomba niwee davoo wako, nakupigishia misele kokote utakakoo.





Mpelekee salon, wata msett vizuri kabisaa,




Hapana Rafiki, tulipita Bamako (Mali), hiyo nyingine ni kwetu.Hapa CONGO?
Una akili sana bantu😅🤣🤣🤣🤣🤣 hili nililijua utalisema tu. Hatupendani. Kila mtu ana wake. Mimi nimekufa nikaoza kwa my babe. Wewe nakuweka kwa dada mkubwa Madame B.
Kabisa, picha sasa😊Mpelekee salon, wata msett vizuri kabisaa,![]()
Hiyo MOBIDO, nikajuaa Congo,Hapana Rafiki, tulipita Bamako (Mali), hiyo nyingine ni kwetu.




Kwanzaa, nasikiaa wee ni mu HB, afu gentleman himself.Kabisa, picha sasa![]()



Hiyo MOBIDO, nikajuaa Congo,![]()
😅😅😅 wamekudanganyaKwanzaa, nasikiaa wee ni mu HB, afu gentleman himself.
Picha zako nimepitwaaa, wekaa hapa nikuonee, ukiwekaa, na mie nawekaaa.
![]()
Oooh bas sawaa!!Modibo Keita International Airport
Wamekudanganya😅😅Em wekaa nionee, km nimedanganywa au lah,![]()