Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,194
- 33,566
Mtaalamu fundi manyumba😂😂😂😂
Na civil engineer je?
Cantry una kazi ngapi?
Ujenzi ni deiwaka tu, mjini kila kitu unapaswa kufanya
Mtaalamu fundi manyumba😂😂😂😂
Na civil engineer je?
Cantry una kazi ngapi?
😂😂😂 wa vijoraJana status niliona mzigo mpya wa kutosha nikataka kusema neno nikakausha😁😁
Huwa anaongea ukweli. Shida yako utani mwingi. Mi najua kila kitu wee nichore tu Mkinga wewe. Wakati wenu huu, nitakuja unifundishe biashara Odo.Anakuchuza shauri yako 😂😂
Khaaaaa!! Unayaweza 🤣🤣🤣Serious mje mniungishe aisee, gereji ipo tandale darajani upande wa kulia ukiwa unatokea magomeni kanisani, na upande wa kushoto ukiwa unatokea vatican
Tupia odo wangu mwenye mipesa yake Town 😂😂😂Hamna wa kawaida tu shem. Nimeshatupia nyingi sana. Wa kusave watakuwa walishakutupia. Nilijua niko na Odo tu, kumbe zaidi naogopa 😆😆😆😆
Unavyowapanga sasa 😂😂😂Mtaalamu fundi manyumba😂
Ujenzi ni deiwaka tu, mjini kila kitu unapaswa kufanya
Za shem wako, huwa ananihonga tu 😂😂😂😂😂 mimi ni jobless. Ndiyo nataka unifundishe biashara nianze. Niache huu ujobless 🥲Tupia odo wangu mwenye mipesa yake Town 😂😂😂
Cantry anakudanganya kweli tena 😂😂Huwa anaongea ukweli. Shida yako utani mwingi. Mi najua kila kitu wee nichore tu Mkinga wewe. Wakati wenu huu, nitakuja unifundishe biashara Odo.
Serious, huyo ni mfanyabiashara kkoo. Sema kwenye kukufundisha atazinguaHuwa anaongea ukweli. Shida yako utani mwingi. Mi najua kila kitu wee nichore tu Mkinga wewe. Wakati wenu huu, nitakuja unifundishe biashara Odo.
Za kwako odo 🤣🤣🤣Za shem wako, huwa ananihonga tu 😂😂😂😂😂 mimi ni jobless. Ndiyo nataka unifundishe biashara nianze. Niache huu ujobless 🥲
Mm kila kazi nafanya😂Khaaaaa!! Unayaweza 🤣🤣🤣
Wee Mkinga kabila tu linakubeba. Ukute hapo unamalizia ghorofa la 3. Huku unatafuta nyumba Sinza 2B uivunje, ujenge lingine. Sikuwezi kabisa Odo ake. Mimi sina pesa, mpaka niombe home 🤭🤭🤭🤣🤣🤣🤣Cantry anakudanganya kweli tena 😂😂
Halafu sijui kwann hataki nipate hizo pesa jamani??
Anasikia raha nikimuomba pesa zake na bado hanipi Mxiuuuu 😹😹😹
Weeh bana hizi sifa zako unazonipamba ndio zinafanya nashindwa kusaidiwa na matajiri ujue 😂😂😂Serious, huyo ni mfanyabiashara kkoo. Sema kwenye kukufundisha atazingua
But angekua yupo loyal basi ingekua mteremko kwako. Kkoo kuna pesa Ila watu wa kushika wengine mikono ndio miyeyusho
Nilijua hutakubali, Ila sio powa unavyofanyaga maana wengi kweli unawazinguagaCantry anakudanganya kweli tena 😂😂
Halafu sijui kwann hataki nipate hizo pesa jamani??
Anasikia raha nikimuomba pesa zake na bado hanipi Mxiuuuu 😹😹😹
😂😂😂 mfyuuu!!Mm kila kazi nafanya😂
Kuna kipindi nikataka kujifanya afisa usalama, sema nikaamua kuacha huo mpango maana niliona siku si nyingi naweza kwenda kuvaa nguo za orange😂
😂😂😂Wee Mkinga kabila tu linakubeba. Ukute hapo unamalizia ghorofa la 3. Huku unatafuta nyumba Sinza 2B uivunje, ujenge lingine. Sikuwezi kabisa Odo ake. Mimi sina pesa, mpaka niombe home 🤭🤭🤭🤣🤣🤣🤣
Wewe shem huwa unasema kweli na nakuamini kabisa. Ila mwache aendelee kunizingua. Uzuri ukweli uko wazi hakiharibiki kitu. Wafanyabiashara wakubwa wachoyo, kukwambia A,B,C za biashara. Hawataki kutoa siri mtajirike wote.Serious, huyo ni mfanyabiashara kkoo. Sema kwenye kukufundisha atazingua
But angekua yupo loyal basi ingekua mteremko kwako. Kkoo kuna pesa Ila watu wa kushika wengine mikono ndio miyeyusho
Kwahiyo umekaza nisipewe mtaji? 😂😂😂Nilijua hutakubali, Ila sio powa unavyofanyaga maana wengi kweli unawazinguaga
Umepita mulemule aisee, leo Kuna status kaweka ya apartments mpya aisee. Akibisha tu namwaga hapa🙄Wee Mkinga kabila tu linakubeba. Ukute hapo unamalizia ghorofa la 3. Huku unatafuta nyumba Sinza 2B uivunje, ujenge lingine. Sikuwezi kabisa Odo ake. Mimi sina pesa, mpaka niombe home 🤭🤭🤭🤣🤣🤣🤣
Uzuri anajua vizuri tu unataniaKwahiyo umekaza nisipewe mtaji? 😂😂😂
Acha bana mi pesa sina na unajua hilo