Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,429
- 94,854
Basi pole weeehnitakuwa nishaama kiwanja band leo naona.haipo good
Band nataka niwaambie wapige nyimbo za fally ile ya Mayday nimemmiss shemeji yako 🤣🤣🤣
Basi pole weeehnitakuwa nishaama kiwanja band leo naona.haipo good
silewi nimekuja kusikiliza band ndio.kitu napendaKabisa ndugu wewe lewa tu 😊
kabisa ukisubiri kupewa utapewa umezeeka ata meno ya kutafuna nyama yatakuwa yashatoka
sibanduki nimeghaili sibanduk tena ngoja nikae sehemu nzuriBasi pole weeeh
Band nataka niwaambie wapige nyimbo za fally ile ya Mayday nimemmiss shemeji yako 🤣🤣🤣
Umeonaee, enjoy. Next weekend naweza kuwa hapo kwa band. Najuaga wewe ni mlevi wa band kama mimi. Napenda live band dahkabisa ukisubiri kupewa utapewa umezeeka ata meno ya kutafuna nyama yatakuwa yashatoka
Mkifika 20 ntaselfikaSelfika basi mrembo 😜
nitakuwa nimerudi iringa boss nimekosa kukuonaUmeonaee, enjoy. Next weekend naweza kuwa hapo kwa band. Najuaga wewe ni mlevi wa band kama mimi. Napenda live band dah
Ole wako unipige pic 🤣🤣sibanduki nimeghaili sibanduk tena ngoja nikae sehemu nzuri
Haina shida Next time, siku hizi umehamia Iringa mazima?nitakuwa nimerudi iringa boss nimekosa kukuona
limeisha boss wangu si wananiita chawa wako ukiienda.kucheza mm nakushikia pochi ya pesaOle wako unipige pic 🤣🤣
Utulie hivyo hivyo nikienda mbele kucheza 😹
ndio hapa mjini panawafaa wenye pesa nikaa hapa kila siku kukopa si bora nikae iringa uku hakuna vishawishiHaina shida Next time, siku hizi umehamia Iringa mazima?
🤣🤣🤣 chawa mtiifulimeisha boss wangu si wananiita chawa wako ukiienda.kucheza mm nakushikia pochi ya pesa
mda ufike🤣🤣🤣 chawa mtiifu
[emoji108][emoji108], imeishaaa hiyooooUtanikuta nakusubiri Ferry [emoji847]
nahapo sijanywa pombee we uogop🤣🤣😂😂😂 em tulia ushaanza kupata wenge