sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
😂😂😂Utaniambia nini wewe
Kipindi icho nilikua nakupasulia njia ya kwenda kwa mjomba
View attachment 3093577
😂😂😂Utaniambia nini wewe
Kipindi icho nilikua nakupasulia njia ya kwenda kwa mjomba
View attachment 3093577
Huyo alikuwa mrembo WA dunia...Ngoja tusubiri ya Bantu Lady
Hahah iyo pisi kali we mzee acha uwoga
Mashallah cheichei unguja 😍😎😎Nipo unguja mm
Kushawahi Kaa unguja eeh?Mashallah cheichei unguja 😍😎😎
Mi mwenyewe simvutii picha aisee, ngoja aje mwenyeweHuyo alikuwa mrembo WA dunia...
Ndio ndio 😎 nilikuwa tuwa gaidi hapo last seen kuwepo ni mwaka janaKushawahi Kaa unguja eeh?
Alaah karibu Tena madhali tupo hai tutaonana inshallahNdio ndio 😎 nilikuwa tuwa gaidi hapo last seen kuwepo ni mwaka jana
Mashallah 😍 😍 inshallah iwe kheriAlaah karibu Tena madhali tupo hai tutaonana inshallah
1990Miaka 35 nyuma.View attachment 3093588
Hii mbona kama ni 2005😁😂Miaka 35 nyuma.View attachment 3093588
1989.1990
Hivi ulikuwepo huo mwaka??1990
Kumbe unakula kijanja 🤣🤣Utaniambia nini wewe
Kipindi icho nilikua nakupasulia njia ya kwenda kwa mjomba
View attachment 3093577
Si ule mwaka wa nzige wengi mm nilikuwepo🤣🤣1990
Ukikaa vibiya indi linaisha unabakiziwa mistari miwiliKumbe unakula kijanja 🤣🤣
Mm mzee chino wew
Embu simulia ishu za 2000Si ule mwaka wa nzige wengi mm nilikuwepo🤣🤣