Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,488
- 65,834
embu selfk kidogo leo bossMasikini wa jf ambae hana kitu ana v8 na Range Rover
embu selfk kidogo leo bossMasikini wa jf ambae hana kitu ana v8 na Range Rover
mbna kama.marehemu analazimisha kufufukaView attachment 3089038
Nipo barbershop.
Ndio mkuu, wengine sura zetu ngumu.mbna kama.marehemu analazimisha kufufuka
ahaha chief ngoja tumpumzishe migongo ya kubeba mizigo keshoNdio mkuu, wengine sura zetu ngumu.
Kwa sababu Gani 😂 😁Mfyuuu.!! Kwa ww hakuna hata wa kukukaba humu huhitaji privacy 🤣🤣🤣
Mkuu Kuna kazi ya kubeba boxi uholanzi utaweza 😎😂😁ahaha chief ngoja tumpumzishe migongo ya kubeba mizigo kesho
Ndiyo mke wa tatu.unataka kuoa?
Mkuu Kuna kazi ya kubeba boxi uholanzi utaweza 😎😂😁
Ndiyo mke wa tatu.
Mhuni akizeeka😀
Hahaha..!!Wifi hujatunza screenshot nimuone Mangi 😜
3000 tu 😁Kibunda cha weekend, huwa unatumia kiasi gani katika weekend yako? View attachment 3089523
Nakutumia no Bantu Lady unitumie na ya kutolea 🔥🔥🔥Kibunda cha weekend, huwa unatumia kiasi gani katika weekend yako? View attachment 3089523
IjumaaaKibunda cha weekend, huwa unatumia kiasi gani katika weekend yako? View attachment 3089523
Nimeipenda iko poa sana kibachela ya kibabe 😅😅😅😅. Wanawake tuna mambo mengi, salon tu laki kadhaa zitaondoka. Sehemu unayoenda, chakula na marafiki. Bajeti inakuwa kubwa kidogoIjumaaa
jioni ugali makange 7500
Jumamosi
Sabuni ya unga 1200
Sabuni kipande 700 hapo
Maji ya 300 kufua tayari
Nauli kwenda na kurudi 1200
Jpili
Ibada sadaka 5000(bahasha 5)
Mihogo 1000
Msosi 10000
Weekend over😂😂
Nyie tu ndo mna mambo mengi wa huku uswahilini kwetu maintenance cost yao ni ndogoNimeipenda iko poa sana kibachela ya kibabe 😅😅😅😅. Wanawake tuna mambo mengi, salon tu laki kadhaa zitaondoka. Sehemu unayoenda, chakula na marafiki. Bajeti inakuwa kubwa kidogo