Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

anajua mwenyewe em aje aseme vizuri…
Nilijua tu ipo siku kitawaka ila sikujua lini? Awwwwwhhee tajiriiiiii ameweza kumbe anajilia vitumbua vyenye mchanga na vya mafuta
kumewakaaaaa hapaaaaa!!
Uzuri wa JF, huwa suala linachelewaa, ila lazima lije kuwa waziiiii

Watuuu na vitumbua vyao vya mchanga na mafutaa, afu sio shida zao
 
Wee kidampaaaa em shusha hilo PDF tuone hapaa, achaa kuvungaa,

Uwanjaa ni wako, em trambaaaaa tukuoneeeee,
Aaaaiiiiiih
 
Jamaniiiii miee sitakiiiiiiii,
Kumbee JF kuna vitumbua rahisi na hamsemiiii!!
Sijapentraaaaaa
😂😂😂😂 vipo uduguu tajiriiii kasema anavitafuna sana!!
Tena kasema vingine vikavu vingine vina mma mengi awwwwhh!! We huogopi 😹😹😹
 
Back
Top Bottom