Shangingi kajipata halafu alianza km utani, alikuwa na kigoli chake ghafla kachukua chumba kikubwa, mara anasema nafatilia visa, ohhh kashusha mzigo wa gauni.
Hatujatulia kanunua nyumba mbagala, mara kaanza ujenzi mwanagati.
Nilivyo mpana kila nikimuhoji ananizuga, mwisho akanitolea uvivu “we mkinga usijifanye hujui km tunaforce mambo” mie enheee! Akaniambia habari ndio hiyo mjini hatuji na majembe tutalima lami??


Ndio kuniambia kashapigwa tunguli za utosi za kutosha na chale mpk mwili umekuwa km kibao cha kashata, hayo makombe kashaoga na kunywa mpk umeingia kwenye mfumo wa damu.!
Yeye kumpata yule bwana wala sio bahati mbaya “KAPAMBANA” mji mzito



Haya nawe makubwa yapi yalitaka kukuta udugu wangu? Mbona kuniweka roho juu??