Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hiki kiatu Kuna dada mwingine naye alivyokiona tu
Akakipenda sana akataka nimpe
Sema ndio kikubwa

Kumbe ndio kinaitwa hivyo?😂
Mie mshamba hata sijui
Mie sijui,Kuna dogo anauza viatu mtumba,anawahi saa 10 karume kuchagua,alivyokiona akanichukulia nikampa 10 tu.
Hiyo boyfriend shoes ya moto nkamu 😍
 
Hiki kiatu Kuna dada mwingine naye alivyokiona tu
Akakipenda sana akataka nimpe
Sema ndio kikubwa

Kumbe ndio kinaitwa hivyo?😂
Mie mshamba hata sijui
Mie sijui,Kuna dogo anauza viatu mtumba,anawahi saa 10 karume kuchagua,alivyokiona akanichukulia nikampa 10 tu.
Unyama huo mwaisa 😂😂😂
Hiyo boyfriend shoe yenyewe.!!
 
👊
 

Attachments

  • IMG_20240812_144932_883.jpg
    IMG_20240812_144932_883.jpg
    2.8 MB · Views: 7
  • IMG-20240812-WA0012.jpg
    IMG-20240812-WA0012.jpg
    67.6 KB · Views: 8
Kweli tena
Mimi wa vijinini milimani huko
Mjini daslam nimekuja juzi tu
Mambo ya kuvaa kwa kweli sijui hadi sasahivi

Ila angalau Nimepata exposure nimejifunza vitu vingi muhimu
Kiliko hata matajiri uchwara wanaojudai born in town wakati ni makapuku tu hata hela hawazijui
Nkamu unapenda kujifanya wa kuja kumbe unatuchora.!! 😂😂😂
 
Back
Top Bottom