Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

.
IMG-20240812-WA0058.jpg
 
Watu wa Dodoma wametuulia msanii wetu
Jamaa alikuwa fundi sana
Hii imeniuma sana, R.I.P Man Dojo, mmoja Kati ya watu wangu wa nguvu, Njia ni Moja...Rest in Peace Bro....
Nimesoma mitandaoni
Watu wengi wanatumia sana Ila shida ya sisi watanzania
Ni kama tumewatupa wasanii wetu wa zamani
Hatuzidi tena airtime nyimbo zao
Siyo maredioni siyo wapi

Ila sasa wakifa ndio tunaaanza kuhuzunika na kuonyesha tunawapenda sana.
 
Back
Top Bottom