Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Najiuliza yy shughuli zake anazifanya sa ngapi.. ilhali yy ni tajirii.. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’”...coz 24/7 yupo jf anagombania vocha na kuchit chat na wapuuz wenzake...
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ bora na nyie mnisaidie nikisema mimi anasema namchukia
 
Wanavyopenda kugugo
Tutabambwa

Ila nahisi nimeshajua
Ngoja nije ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Safari hii tunaleta vyote
Kipome na keki
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hatuchelewi kuletewa picha za gugo watu wanadeposit ila mikono hainekani na nyumba za michongo halafu kapiga fence tu, em awe anatuonyesha na ndani.!!
 
Hee
Kumbe matajiri wanagombania vocha na sisi wauza maparachichi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’”
Nchi ngumu sana hii ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hadi analia kakosa wenzie wamewahi kuingiza
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ tuna matajiri wagombania vocha
Jamanii,jamaniii my wiii nicheke kwanza ule uzi watu mpaka wanakuja na Id mpya ili wagombee vizuri Vocha za bure niliwapa ukweli๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Hana kazi mjini anaishi kwa boss wake,Nop sina tatizo na ladies tatizo ni yy kujifanya tajiri , Dah tokea jana anakula credit afu wanamchora sana ,nimefuatilia hizo chitchat ,
Alfu limarioo linasfia ujing** Dah mkuu inasikitisha, ni limwijak * haswa , sasa hv anaandaa report kwa admn naenda kule JF members chat nkamparue
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ anapenda kuchongelea km last born vile, kwanza Max aanze kutoza member wenye blue tick wengine hawana mchango wowote
 
Naliskitika aliwaponda humu mara wanauza ndizi hawajui Dolla aiseee kweli Mungu anakuumbua kweupeee unajisema mwenyewe
Huyo hata dollar hazijui ni mshamba mlugaluga mmoja mtafuta kiki ili aonekane mambo safi, hajui mashauzi yaendane na kipato..! Leo kiko wapi anashindia vocha za bure halali, kawashinda had mods mana hata wao wanaingia kwa shift ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hatuchelewi kuletewa picha za gugo watu wanadeposit ila mikono hainekani na nyumba za michongo halafu kapiga fence tu, em awe anatuonyesha na ndani.!!
Matajiri ndio huwa wanamwaga vocha humu
Wote ambao tunagombania bado kuingiza vocha za bure aisee
Ndio poorest pipo for the poor by the poor
 
Jamanii,jamaniii my wiii nicheke kwanza ule uzi watu mpaka wanakuja na Id mpya ili wagombee vizuri Vocha za bure niliwapa ukweli๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Kuna id zingine mpya sijawahi hata kuziona aiseee.!! ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Back
Top Bottom