Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sio kweli labda wewe Mimi mtoto wa kariakoo najua fake na ojii wewe ujui kitu😂😁😁
Mimi mtoto wa shamba niliyepita Kariakoo
Wewe kubisha kwamba hizo zake siyo dolar kwa msaada wa picha ya Google,na sababu unayotoa ni rangi
Reference yako ni dollar za gugo
Ni dhahiri kweli huzijui
 
Kama siyo kweli basi ni chuki tu 😁
Ni aidha huzijui
Au unazijua ila umeamua tu ubishe
Tutafute hela Mkuu, tusiweke makasiriko kwenye picha za dollari za watu😂
Huyo ana chuki mpk anashindwa kuzificha anaamua kujidhalilisha, halafu wanaozijua wanamcheka.!!
Muda anaopeteza kutafuta video you tube angeutumia kuzitafuta za kwake angetisha sana.!!
 
Mimi mtoto wa shamba niliyepita Kariakoo
Wewe kubisha kwamba hizo zake siyo dolar kwa msaada wa picha ya Google,na sababu unayotoa ni rangi
Reference yako ni dollar za gugo
Ni dhahiri kweli huzijui
😁😂😂 Basi ndio maana ni mshamba wewe ushamba mwiko kwa mtoto wa kariakoo dollar nyeupe 😂
 
Back
Top Bottom