Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,242
- 86,929
Igweeeeeeeeeee 👸Nakupa heshima Yako mkinga
Igweeeeeeeeeee 👸Nakupa heshima Yako mkinga
AiseeMimi nikienda kudeposit shillings nazibeba kwenye bag mgongoni 😹😹😹
Nikijitoaga out awww naweka usd halafu natowaga had tips kwa wahudumu najikuta cash madame 🤣
Ilikuwa mtu akinikazia machoUna hatari sana.!!
Kweli mganga wako sio tapeli.
Kwa vibaka wa dar wanavyojua kunusa na hujaibiwa.!!
Usiache kumpa fungu la kumi.!! 😹😹😹
Sijui nikuoweeeIlikuwa mtu akinikazia macho
Na Mimi namkazia
Kwanza ukiniona,sifananii hata kuwa na pesa,juu ya mfuko nimeweka vikoti vya elfu 1 na kijora Cha 5500
Mekatisha na pesa tandahimba narung'ombe,nakuja Congo kuchagua vijora,nipo nazo
Nashuka karume mtumbani nipo nazo
Yaani huyu Malaika wa ulinzi hana mbambamba.
Kipindi Fulani nimerudi Mbeya
Nakatika na minote yetu ml2
Wanasemaje eti wasije wakakuibia
Yaani sijaibiwa pesa Kariakoo nije kuibiwa huko Mbeya vijijini
Eti ooh wanaibia madawa
Mimi:hakuna kitu kama hicho
Eti tema mate chini




Huu uzi bado upoNi pesa za watu Mkuu
Siyo zangu
Nkamu😍😍Huu uzi bado upo
Baby nimekumiss..Igweeeeeeeeeee 👸
Nzuri nimewamissNkamu😍😍
Za miaka?
Nimefurahi kukuona tena.
Uzi unakuja na kupotea.
Hongereni walevi kwa kuadhimisha siku yenuView attachment 3059206Leo ni siku yetu🍻 Happy Furahi Day🥂
Tumekumiss pia NkamuNzuri nimewamiss
Nipo beer ya 20💪Hongereni walevi kwa kuadhimisha siku yenu
Hongereni walevi kwa kuadhimisha siku yenu
Bia gani bigwa?Nipo beer ya 20💪
KiliBia gani bigwa?
Nipo location flani napata cold beer...Happy beer day...View attachment 3059206Leo ni siku yetu🍻 Happy Furahi Day🥂
Same to u Bro..EnjoyNipo location flani napata cold beer...Happy beer day...