Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Una hatari sana.!!
Kweli mganga wako sio tapeli.
Kwa vibaka wa dar wanavyojua kunusa na hujaibiwa.!!
Usiache kumpa fungu la kumi.!! 😹😹😹
Ilikuwa mtu akinikazia macho
Na Mimi namkazia😂😂😂
Kwanza ukiniona,sifananii hata kuwa na pesa,juu ya mfuko nimeweka vikoti vya elfu 1 na kijora Cha 5500

Mekatisha na pesa tandahimba narung'ombe,nakuja Congo kuchagua vijora,nipo nazo
Nashuka karume mtumbani nipo nazo

Yaani huyu Malaika wa ulinzi hana mbambamba.

Kipindi Fulani nimerudi Mbeya
Nakatika na minote yetu ml2
Wanasemaje eti wasije wakakuibia
Yaani sijaibiwa pesa Kariakoo nije kuibiwa huko Mbeya vijijini🤣🤣🤣🤣
Eti ooh wanaibia madawa
Mimi:hakuna kitu kama hicho

Eti tema mate chini
 
Ilikuwa mtu akinikazia macho
Na Mimi namkazia
Kwanza ukiniona,sifananii hata kuwa na pesa,juu ya mfuko nimeweka vikoti vya elfu 1 na kijora Cha 5500

Mekatisha na pesa tandahimba narung'ombe,nakuja Congo kuchagua vijora,nipo nazo
Nashuka karume mtumbani nipo nazo

Yaani huyu Malaika wa ulinzi hana mbambamba.

Kipindi Fulani nimerudi Mbeya
Nakatika na minote yetu ml2
Wanasemaje eti wasije wakakuibia
Yaani sijaibiwa pesa Kariakoo nije kuibiwa huko Mbeya vijijini
Eti ooh wanaibia madawa
Mimi:hakuna kitu kama hicho

Eti tema mate chini
Sijui nikuoweee
 
Ndugu zangu wateja
Sina kazi nyingine mjini hapa

Mje kuniungisha
 

Attachments

  • IMG-20240730-WA0017.jpg
    IMG-20240730-WA0017.jpg
    32.5 KB · Views: 8
Back
Top Bottom