Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi nikienda kudeposit shillings nazibeba kwenye bag mgongoni 😹😹😹
Nikijitoaga out awww naweka usd halafu natowaga had tips kwa wahudumu najikuta cash madame 🤣
Tajeeeeeeeeeerrrr umepoa!

Yeyote atakaekuzingua huo ugomvi Moja Kwa moja ni wangu!


Umepoa umepoaaaaaa
 
😂😂😂😂 umenifanya nimecheka kwa sauti.!!
Nimehisi km ndo Mwijaku sasa anaongea.!!

Nimepoa le madame lamomy 😹
Winga unazingua
Nyie hizi mnakuaje nazo nyingi? mm Kwa siku zinapita nyingi sana zaidi ya 10M lakini Sasa ulizia yangu ni sh ngp hapo? Ni kamzozo
 
😹😹😹 Uongo
Wewe unayeshusha mzigo kila baada ya wiki 2 unakosaje hizo??
Au ndio hutaki warembo wakuombe afu tatu pm??
Labda kama unamaaanisha nashusha kama kuli😁,

Sema sishangai sana we kua na dollar kariakoo black market ya dollar nyingi zinamilikiwa na wanawake
 
Labda kama unamaaanisha nashusha kama kuli😁,

Sema sishangai sana we kua na dollar kariakoo black market ya dollar nyingi zinamilikiwa na wanawake
Hamna black market yoyote, mi mkinga najituma na vijora vyangu.!!
Ukiniona ninavyopiga debe kuwashawishi wateja wanunue vijora utanionea huruma.!! 😹😹😹
 
Hamna black market yoyote, mi mkinga najituma na vijora vyangu.!!
Ukiniona ninavyopiga debe kuwashawishi wateja wanunue vijora utanionea huruma.!! 😹😹😹
Hapo Kwa Leo $1 ilikua 2835 Kwa hyo dollar zote ndo umetoka kuuza vijora? Wachina Wana la kujifunza kwako aseeee
 
Hapo Kwa Leo $1 ilikua 2835 Kwa hyo dollar zote ndo umetoka kuuza vijora? Wachina Wana la kujifunza kwako aseeee
😹😹😹 waje waambie.!!
Halafu wewe bana unavyoongea km mgeni na kkoo.!
Hizo ni pesa za mauzo za mzigo nilikuwa nafunga hesabu za mwezi.!
Hizo zinaenda kuweka order ya mzigo mpya
 
Back
Top Bottom