min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,262
- 127,147
Wifi tena🤣🤣🤣Umeipenda nikupe umpelekee wifi 😹
Wifi tena🤣🤣🤣Umeipenda nikupe umpelekee wifi 😹
Eeh kwani huna? 😹Wifi tena🤣🤣🤣
Sina elfu tatu za kumpa ,nipo kataa ndoa kitambo😁😁😁Eeh kwani huna? 😹
Tajeeeeeeeeeerrrr umepoa!Mimi nikienda kudeposit shillings nazibeba kwenye bag mgongoni 😹😹😹
Nikijitoaga out awww naweka usd halafu natowaga had tips kwa wahudumu najikuta cash madame 🤣
😹😹😹 unajichukulia sheria mkononi.!!Sina elfu tatu za kumpa ,nipo kataa ndoa kitambo😁😁😁
Elfu tatu nacho ni kibunda cha kulinda basi😁😁 tukianza lile zoezi utanieleza kuhusu hiyo Pete vizuri😆😆😹😹😹 unajichukulia sheria mkononi.!!
Unalinda kibunda chako
😂😂😂😂 umenifanya nimecheka kwa sauti.!!Tajeeeeeeeeeerrrr umepoa!
Yeyote atakaekuzingua huo ugomvi Moja Kwa moja ni wangu!
Umepoa umepoaaaaaa
Hamna hiyo pete ni urembo tyuu.!!Elfu tatu nacho ni kibunda cha kulinda basi😁😁 tukianza lile zoezi utanieleza kuhusu hiyo Pete vizuri😆😆
Mimi nimependa aina ya pesa uliyoshika na pete tu basi😁Hamna hiyo pete ni urembo tyuu.!!
Mi napenda sana urembo 😹
Nyie hizi mnakuaje nazo nyingi? mm Kwa siku zinapita nyingi sana zaidi ya 10M lakini Sasa ulizia yangu ni sh ngp hapo? Ni kamzozo😂😂😂😂 umenifanya nimecheka kwa sauti.!!
Nimehisi km ndo Mwijaku sasa anaongea.!!
Nimepoa le madame lamomy 😹
Winga unazingua
😹😹😹 Hiyo pesa tamu sana, inaondoa uchovu na stress.!!Mimi nimependa aina ya pesa uliyoshika na pete tu basi😁
😹😹😹 UongoNyie hizi mnakuaje nazo nyingi? mm Kwa siku zinapita nyingi sana zaidi ya 10M lakini Sasa ulizia yangu ni sh ngp hapo? Ni kamzozo
Ila utamu wake inategemea unaitumia ukiwa wap 😁😁😁😹😹😹 Hiyo pesa tamu sana, inaondoa uchovu na stress.!!
Inatibu mpk harara na mabaka
Labda kama unamaaanisha nashusha kama kuli😁,😹😹😹 Uongo
Wewe unayeshusha mzigo kila baada ya wiki 2 unakosaje hizo??
Au ndio hutaki warembo wakuombe afu tatu pm??
Hamna black market yoyote, mi mkinga najituma na vijora vyangu.!!Labda kama unamaaanisha nashusha kama kuli😁,
Sema sishangai sana we kua na dollar kariakoo black market ya dollar nyingi zinamilikiwa na wanawake
😹😹 ww unaitumiaga wapi?Ila utamu wake inategemea unaitumia ukiwa wap 😁😁😁
Hapo Kwa Leo $1 ilikua 2835 Kwa hyo dollar zote ndo umetoka kuuza vijora? Wachina Wana la kujifunza kwako aseeeeHamna black market yoyote, mi mkinga najituma na vijora vyangu.!!
Ukiniona ninavyopiga debe kuwashawishi wateja wanunue vijora utanionea huruma.!! 😹😹😹
Nmehisi tu sijawahi tumia.😹😹 ww unaitumiaga wapi?
😹😹😹 waje waambie.!!Hapo Kwa Leo $1 ilikua 2835 Kwa hyo dollar zote ndo umetoka kuuza vijora? Wachina Wana la kujifunza kwako aseeee
Nakupa heshima Yako mkinga😹😹😹 waje waambie.!!
Halafu wewe bana unavyoongea km mgeni na kkoo.!
Hizo ni pesa za mauzo za mzigo nilikuwa nafunga hesabu za mwezi.!
Hizo zinaenda kuweka order ya mzigo mpya