Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,212
- 86,846
Usijali nkamu limeisha hilo 😂Nkamu
Nyofoa moja unipe
Usijali nkamu limeisha hilo 😂Nkamu
Nyofoa moja unipe
Fanya mpango sasa hata $500 niingie Tips nikasafishe macho sahv 😊
Sijui ni lini hela za bongo zitakuwa na thamani, hizo zingekuwa madafu yetu hio sehemu ingejaa hela tupuPicha maalum kwaajili ya raraa reree 😹
Mkinga na kuhonga wapi na wapi? 😹😹Fanya mpango sasa hata $500 niingie Tips nikasafishe macho sahv 😊
Nitakurudishia 😊Mkinga na kuhonga wapi na wapi? 😹😹
We huogopi?
Acha kabisa pesa za bongo hapo zingejaa kifungashio cha 500.!Sijui ni lini hela za bongo zitakuwa na thamani, hizo zingekuwa madafu yetu hio sehemu ingejaa hela tupu
Kwahiyo unakopa? 😹😹Nitakurudishia 😊
Asset nina 🍒 tuu 😄Kwahiyo unakopa? 😹😹
Nida namba yako pls
Na barua kutoka kwa mtendaji bila kusahau mdhamini na dhamana ya asset yako.!! 😂
Changamoto mno, kuna siku nilibeba milioni 5 keshi ni kamzigo fulani kanachokukosesha utulivu ila ingekuwa za wenzetu unaweka kwenye walet tu, wakati ufike kuwe na noti ya lakiAcha kabisa pesa za bongo hapo zingejaa kifungashio cha 500.!
Shilling haina thamani na hivi dollar imepanda ndio kabisa ukibeba 50m una bonge la mzigo.!
Chemsha uvinywe supu 😹😹Asset nina 🍒 tuu 😄
Supu 😄 labda nikate na 🌽Chemsha uvinywe supu 😹😹
😹😹😹 noti ya laki.!!Changamoto mno, kuna siku nilibeba milioni 5 keshi ni kamzigo fulani kanachokukosesha utulivu ila ingekuwa za wenzetu unaweka kwenye walet tu, wakati ufike kuwe na noti ya laki
Vyote chemsha katia na pilipili kamulia na ndimu vinanoga sana.!! 😹😹Supu 😄 labda nikate na 🌽
Hili guu sio poa ujue 😋Picha maalum kwaajili ya raraa reree 😹
Umenikumbusha mbali KariakooUsijali nkamu limeisha hilo 😂
Sure Kuna siku nilibeba hivi miaka mitano nyuma japo safari ilikuwa ndefu ila sikua na wasi wasi kabisa yaani😹😹😹 noti ya laki.!!
Umefanya nicheke aiseee.!!
Mzungu pesa yake ukiibeba kuna ka confidence flani kanakujaga automatically
Njoo ulibebe 😹😹Hili guu sio poa ujue 😋
Weee embu tupia nyingine 😊Njoo ulibebe 😹😹
😂😂😂 Nkamu walikukaribisha.!!Umenikumbusha mbali Kariakoo
Wakati ndio naingia mjini tu
Siku moja nilibambikiwa Dola feki za note 100 kama 5 hivi
Nikashtuka
Nikajua aliyenibambika
Sijui ningembebea tajiri mbeleko gani💔😂
Mshahara wangu wa miezi kadhaa ningetumia kulipa deni