Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,431
- 94,838
😂😂😂 Nkamu walikukaribisha.!!Umenikumbusha mbali Kariakoo
Wakati ndio naingia mjini tu
Siku moja nilibambikiwa Dola feki za note 100 kama 5 hivi
Nikashtuka
Nikajua aliyenibambika
Sijui ningembebea tajiri mbeleko gani💔😂
Mshahara wangu wa miezi kadhaa ningetumia kulipa deni
Mi dollar nachukua kwa wateja maalum wakongo na wazimbabwe na nazijua kuziangalia.!!
Hawa makanjanja wengine nawaelekeza kwenye bureau wakakatishe waje na shillings sitaki kuumizana vichwa 😹😹😹