Django Doer
JF-Expert Member
- Jun 30, 2023
- 2,865
- 5,244
Vipi mkuu. Kuna ban zinaendelea au?Tumia akili dogo
We ndio huyo mzee wa hovyo?Hujaulizwa mkuu
Yes kuwa makini *Vipi mkuu. Kuna ban zinaendelea au?
Umeona eeh 😜Babu huyo bibi hapana hauendani naye coca mchokozi 😹😹😹
Nakuletea babu 😹Siwezi kusimulia hadi niwe nimevuta Kiko yangu, kwahiyo jitahidi uniletee.
Otherwise nitajikuta naongea peke yangu kutwa nzima 😜
😹😹😹 kakukosea sanaUmeona eeh 😜
Hata kama tuna ule msemo kwamba Simba akikosa nyama anakula nyasi, lakini sio Kwa type hiyo aisee 🙌
Kwa kweli Mjukuu 🤗😹😹😹 kakukosea sana
Msalimie Mjukuu, Bracelet yake ya mguu imempendeza sana 🤗
Haha sema tu ana mwili mtamu hayo mambo ya bracelet achana nayoMsalimie Mjukuu, Bracelet yake ya mguu imempendeza sana 🤗
Nitamchapa aache kumfananisha bibi na vitu vya ajabu 😹Kwa kweli Mjukuu 🤗
Usiulize pamoja na kupoteza miwani yangu ya macho nimewezaje kuzoom-in 😅
Who this 😁🤣
Lakini kwa kizazi hiki lazima ujiridhishe kama yaliyomo yamo! Kuna wanawake mashoga! Unamwingiza ndani unakutana na mtalimbo! Unaweza kulia!binafsi siwezi kusubiri mpaka ndoa aisee