Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,009
- 17,471
Lakini kwa kizazi hiki lazima ujiridhishe kama yaliyomo yamo! Kuna wanawake mashoga! Unamwingiza ndani unakutana na mtalimbo! Unaweza kulia!binafsi siwezi kusubiri mpaka ndoa aisee
Lakini kwa kizazi hiki lazima ujiridhishe kama yaliyomo yamo! Kuna wanawake mashoga! Unamwingiza ndani unakutana na mtalimbo! Unaweza kulia!binafsi siwezi kusubiri mpaka ndoa aisee
Twitter userWho this 😁🤣
😆🤣🤣🤣🤣🤣Usiulize pamoja na kupoteza miwani yangu ya macho nimewezaje kuzoom-in 😅
Furahieni maisha Mkuu 🤗
🤣🤣🤣 Basi babu tuishie hapo tu.Sijui hata nilikuwa nawaza nini
Unajua nimechukua muda mrefu sana kuelewa swali lako
Kweli tumezeeka sasa 🙌
Amepotea sana Mjukuu wangu yule🤣🤣🤣 Basi babu tuishie hapo tu.
Akitoka kifungoni tutaendelea 😁
Hahaha wala hata hajapotea itakuwa yuko humu na id nyingine ingia whatsapp muulize anatumia id gani atakujibu au mpaka bestie ake aje kusema hapaAmepotea sana Mjukuu wangu yule
D
Kuna wakati huwa natamani ningepewa kazi ya u-mods ningewatoa kifungoni wote Kila tarehe 1 ya Mwezi mpya 😜
same as unaolewa na mtu kumbe haisimami😂😂Lakini kwa kizazi hiki lazima ujiridhishe kama yaliyomo yamo! Kuna wanawake mashoga! Unamwingiza ndani unakutana na mtalimbo! Unaweza kulia!
Kwahiyo lazima uonje kama mashine inaperform sio?? 😂😂😂 vipi ukiolewa ukakuta hasimamishi inakuwaje? Unamuacha? Kama unamuacha kilichokupeleka ni kuchakatana au mapenzi kwa ujumla wake? Niambie Amehlosame as unaolewa na mtu kumbe haisimami😂😂
Samahani, hivi wewe ndo yule kibuyu.?? HahaZa dini ili upako uongezeke tunene kwa lugha 😹😹😹
Ana macho flan hv
Amaizing eeAna macho flan hv
Mtoto mzuri inaonekana hapendi Hela kbsAmaizing ee
Hapo kwenye hela hapana anapenda sana tuMtoto mzuri inaonekana hapendi Hela kbs
😂😂😂sasa unaolewa na mtu hujajua kama utamuweza au hutaweza na ni pingu za maisha 😂😂Kwahiyo lazima uonje kama mashine inaperform sio?? 😂😂😂 vipi ukiolewa ukakuta hasimamishi inakuwaje? Unamuacha? Kama unamuacha kilichokupeleka ni kuchakatana au mapenzi kwa ujumla wake? Niambie Amehlo
Hujui tu nilivyosononeka.Umefeli wapi kijana 😀😀
Muda tayarHujui tu nilivyosononeka.
Itabidi irudiwe
Kuchakatana kabla ni muhimu sana mkuu.😂😂😂sasa unaolewa na mtu hujajua kama utamuweza au hutaweza na ni pingu za maisha 😂😂
sasa kama haisimami? ndoa inakuaje main spice kwenye ndoa ni hilo mnaloliita tendo la ndoa sasa kama halipo inakuaje ndoa
Haha acha kumpibu chinoMuda tayarView attachment 3035997
Njoo ule firigisi 😃