Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kariakoo 😎😎😎 Cc ephen_
IMG_20240706_152212_201.jpg
 
Kama unaona vipi usiolewe!
View attachment 3035612
Mambo ya kuuziwa Mbuzi kwenye gunia hayo 😜

Zamani ilikuwa guitar pamoja na uwanja wa ku-perform vyote vinazinduliwa Siku Moja.

Miaka hii unaweza kukuta hadi audience walishaalikwa ku-perform kwenye huo uwanja miaka kadhaa kabla yako, na walivyo na njaa ya kuwa Michael Jackson utakuwa walitumia mlango wa mbele na ule wa nyuma kuingia uwanjani mara kadhaa🤗😜
 
Usinikumbushe machungu Mjukuu, Mwaka 47 nilipokea pension yangu ya mkupuo.

Kabla ya kuipokea nilisema ningeenda kununua Kiwanja Masaki nijenge.

Baada ya kuipokea, yote iliishia kuwapangia apartments nyumba ndogo pamoja na kwenda kula nao maisha South Africa 😜

Msione natembelea naongea peke yangu njiani, hili tatizo limeanzia mbali Mjukuu 😜 🙌
Babu una mikasa mingi ntakuja unisimulie 😹😹😹
 
Back
Top Bottom