Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,798
- 57,311
Usianze majigambo ya Kihaya wakati bado Posa hujamaliza Kwa binti yetuHuyo ndio anaishi huko sasa hivi. Kwani Mimi panya road mpaka nikae mbagala? 😅
Usianze majigambo ya Kihaya wakati bado Posa hujamaliza Kwa binti yetuHuyo ndio anaishi huko sasa hivi. Kwani Mimi panya road mpaka nikae mbagala? 😅
Babu huyu mkwe wako ameshaanza kunishinda tabiaUsianze majigambo ya Kihaya wakati bado Posa hujamaliza Kwa binti yetu
huku ndo mahali pake mkuu,,hali ya hewa pia inaruhusu,,na vingi tunalima ukiachana na io miti,eg viazi,ngano, mahindi, maharage,mananasi, apple na matunda mengine meeengiiii..... na vingine viiiingi sana,,usitufanganye bwana weweeeeeeeeeKitu kikiwa muhimu haimaanishi nyie ndo mfanye, hivi nyie watu wa ulaya ndogo mmemkosea nn Mungu....baridi ziwaadhibu nyie bado mlime mazao yanayochukua zaidi ya miaka 10 kukomaa
Hapo kwenye apple na ngano hujanipiga kamba kwel?huku ndo mahali pake mkuu,,hali ya hewa pia inaruhusu,,na vingi tunalima ukiachana na io miti,eg viazi,ngano, mahindi, maharage,mananasi, apple na matunda mengine meeengiiii..... na vingine viiiingi sana,,usitufanganye bwana weweeeeeeeee
hakika nakwambia,,, sema wewe umezoea zile zilizopgwa dawa za supermarket ngoja ufike msimu wake nitakutumia picha ya miti yenye apple ,,na mashamba ya ngano piqHapo kwenye apple na ngano hujanipiga kamba kwel?
Punguzeni posa ili nimchukue sasa 😅Usianze majigambo ya Kihaya wakati bado Posa hujamaliza Kwa binti yetu
Nikiweka kuna mtu atanunaWeka now nione
Acha anune. Nani huyo?Nikiweka kuna mtu atanuna
Sijawahi ona ngano na apple shambani hayo mengine uliyotaja nimelimahakika nakwambia,,, sema wewe umezoea zile zilizopgwa dawa za supermarket ngoja ufike msimu wake nitakutumia picha ya miti yenye apple ,,na mashamba ya ngano piq
subiri msimu wake ufike,,njia ya uwemba wanalima sana hukoSijawahi ona ngano na apple shambani hayo mengine uliyotaja nimelima
Una uhakika nikiweka hautonuna? Usiniponze😂Acha anune. Nani huyo?
Mchumbako si aseme ameen jamani ili nimalizie jumapili yangu tuliiiivvuu na Selfika mieee 😁😁😁!Una uhakika nikiweka hautonuna? Usiniponze😂
Bora tumezeeka sasa 😜 🏃🏃😂😂😂 babu umenishinda tabia
Kwani nikiwekaga wewe huwa unakua wapi? Juzi nilishusha album nzima ila mchumba akanipiga stop ety wataniiba😂🤸Mchumbako si aseme ameen nimalizie jumapili yangu tuliiiivvuu na Selfika mieee 😁😁😁!
Hahaha...........Picha ya Mwaka 47 ujue, Saivi nipo natembelea Mkongojo tu Babu yenu 😜 🤗Tunaruhusiwa kudownload Kwa kutunza kumbukumbu 😀
Itakua nilitingwa jamani hakii sijawahi bahatika kukuona!Kwani nikiwekaga wewe huwa unakua wapi? Juzi nilishusha album nzima ila mchumba akanipiga stop ety wataniiba😂🤸