Duh! mi najiulizaga hawa wanaosubir mti mpaka ukomae ndo wauze, mparachichi mpaka ukue na mazao mengine yanayochukua mda mrefu huwa wanaishije? Labda hicho kilimo kiwe ziada tu kwako
Ndiyo maana Wazee tulianzisha ule msemo kwamba "Kitanda hakizai haramu" ili kuendana na uhalisia
Unaweza kusafiri kwenda operation nje ya Nchi ama Mkoa fulani miezi 3 hadi 12 na ukarudi ukamkuta Mkeo ana ujauzito ama ana mtoto kabisa, huyo mtoto utamlea na kumtunza as if hakuna kilichotokea π€
Nyie Vijana Siku hizi hadi mnaenda kupima watoto wenu DNA ndiyo mkubali kulea na kuwatunza hao watoto ππ
Duh! mi najiulizaga hawa wanaosubir mti mpaka ukomae ndo wauze, mparachichi mpaka ukue na mazao mengine yanayochukua mda mrefu huwa wanaishije? Labda hicho kilimo kiwe ziada tu kwako