Mimi nakuhitaji wewe??
Nawezaje kumuhitaji mwanaume mmbea km lokole? Naona ushapanic unaanza kuleta vitu havipo kabisaa!!! Ww si ndio ulikuwa unajilalamisha nimekulamba block hapa?? Sasa naanzaje kukutafuta? Wewe ujue ni kichaa ukapimwe.
Wapi ulinipuuzia na ndio kwanza ulikuwa unabembembeleza nikupe password yangu ukaangalie ninavyopiga umbea nikakutalia, tena ukajifanya kunipa password yako ili nione ulivyokuwa unawakataa wanawake wa jf. Hebu tulia nisije nikakiamsha nikalambwa ban hapa