Selfika na JF: Snap it. Show it

kumekuchaaaa!!!!
 
Wewe ndio mjinga kupoteza muda wako kumsifia mjinga. Yani km mtu timamu kumfata kichaa dampo washirikiane kula uchafu, hapo nani ataonekana kichaa??
Unishauri nini zaidi ya umbea? Katafute wa kushauriana naye sio mimi
Muda mm ninao wa kutosha sana, tena hii ni weekend na ndio kwanza hapa nakula mjani
 
Wewe ni lijinga, furaha yangu naipata kwa ugumu nakuzidi wewe?? Wewe ni mtu mwenye trauma ya kushuhudia jambo zito ambalo linatafuna ubongo wako mpk sasa..!!
Furaha yako inapatikana kwa njia ngumu mno, maisha ya upweke ndio faida yake hiyo
 
Mtu anafungua uzi yeye ni LGBT, leo anakuja kutuambia bwana ake anataka azae nae, sasa natafakari hao watoto anawajamba ama niaje?

Halafu mwenzake ambae ni wewe unamkoleza eti amzalie, nyie akili zenu ni sawa, mmekutana.
Wee wenzako huko PM wananiona wife material na mzaa chema wa wana,

Huu mwakaa naolewa na kuzaa ntazaa, jiandae kuitwa ankolii,
 
jamaniiiiiii!!! Em kiamshe uduguuu!! Haya mambo napenda mie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…