Selfika na JF: Snap it. Show it

Mapenzi ya kugombana, kutoleana shits, kununiana, kulambana block, asikwambie mtu matamu sana..!! Halafu kwenye ugomvi ndio mtu anakwambia kasoro zako kweli lazima upanic 🀣🀣🀣🀣🀣

Ngoja nikamchokoze honeyyy wangu kwanza, nilimlamba block ngoja nimu unblock nimchefue kidogo afu namlamba block nyingine.!! Hakuna amani hapa.!!
Last time aliniambia neno lilinichefua hata alivyompigia simu dada anipe simu nilimgomea kuongea naye 🀣🀣🀣🀣
 
Kama kwel wewe mtoto wa shangaz kitumbua niletee mala moja tu
Wehhhh cazee wa coca mbona kavu hivyo.!!! 🀣🀣🀣🀣🀣

Haya coca unaitwa upeleke kitafunwa, mi nikalale hii comment imenichosha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wehhhh cazee wa coca mbona mkavu hivyo.!!! 🀣🀣🀣🀣🀣

Haya coca unaitwa upeleke kitafunwa, mi nikalale hii comment imenichosha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tafadhal lejea maneno tajwa hapo kwenye hiyo sms,,
 
Mdaka machozi

naye ana moyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…