Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwanaume HB jf nzima 😍😍😍
Unapita naked sio shida zako, hakuna kujificha KIDUME S KIDUME cha mwandiga hiko 😜
Coca cazee wako kashafika huku
Wanaojificha huwa wanakuwa wamezaliwa kwenye familia za maninja au wale maalakhaida
 
Lamomy uduguu naomba nitengenezee wix ya kienyeji nitoe sugu za magoti.

Au unatakaa ung'aree pekee ako tyuuh?
View attachment 3021739
Uduguuu karangi pambee 😍😍😍😍
Mtoto mkaree unang’aa km kioo, uduguu wangu lizuriii bana mwah 😘 mwah 😘
Toto la Songea uko vyedii sanaaaaaa
Hilo halina ubishi miaka buku unakimbiza. Huhitaji wix, ww unahitaji raha za ba tamu
 
uduguuu em nitengenezee wix bhanaaa..

Ba tamu nimemcharuaa leo, anasemajee nakufata huko huko kwako, nkamuambia njoo nikuitie mwiziii.


Bas ex kijana wa JF, anahaha huyooo, noumaaaah
 
Hapana wix achana nayo uko πŸ‘Œ

Sasa ba tamu umemcharua nini?? Tatizo tuna gubu sana familia yetu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na akija atakuzagamua mpk utafute feni likupulize 🀣🀣🀣

Kwahiyo kijana wa jf naye anaumendea mzigo?
 
yaani mie nisipo mchokoza ba tamu sijisikii raha, huwa namuambiaga mie sipendi amani, vita vita ndo nataka.

Leo mchana nkaanza kumcharua kimasikhara, sasa kuna neno alinambia lilinitibua, nisianze kumpa kichambo cha serious.

yaaan full tafraniiii
 
Mapenzi ya kugombana, kutoleana shits, kununiana, kulambana block, asikwambie mtu matamu sana..!! Halafu kwenye ugomvi ndio mtu anakwambia kasoro zako kweli lazima upanic 🀣🀣🀣🀣🀣

Ngoja nikamchokoze honeyyy wangu kwanza, nilimlamba block ngoja nimu unblock nimchefue kidogo afu namlamba block nyingine.!! Hakuna amani hapa.!!
Last time aliniambia neno lilinichefua hata alivyompigia simu dada anipe simu nilimgomea kuongea naye 🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…