Hii ni kweli man, if there is no one at home huwa nnakuwa nna mashaka sana, kama leo familia nzima imeanua kuelekea kijijini na mimi ni mtu wa night kali, washenzi juzi kati waliniibia mbwa wangu ikaniuma sana sijui wataniibia nini mpaka hii holiday iishe, mbaya zaidi sijaweka nyaya za umeme