Selfika na JF: Snap it. Show it

ila wee yako? I4n enyewe umepata Had uingizwe Dole huko kuamsha uti wa mgongooo.

Kwendraaaaaa!!! Umechundraaaaa!!!
Mbona una nitukana sasa 😁😁😁😁
Mi sijapewa nimenunua mwenyewe kwa boom langu..
😁😁😁
 
Boom mchezoo,

Msingi kiuno na kupigwa starter, mashangazi kwa kupiga kiki hawajambooo.
Wee huogopiiii?
Weee hapana..
Nakutana na mashangazi ya kawaida tu tena huwa nalazimishwa kula before mechi..
She treat me very well ili nisimwangushe mda wa show show..
😁😁😁
Sasa ww kama unaamini mambo ya starta sijui.. utajuwa wewe 😁😁😁
 
Bichwa huu uzi hajagi huku, yy yuko busy uko na mada zake ngumu za ndoa za kikatoriki 🀣🀣🀣🀣
Alafu sis huyu coca mbona ananishambulia hvi πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

Mwambie basi apunguze maneno yake machafu πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ™Œ
 
Trokaaaaaaa!!!

Huna lolote, unapigwa na jua kalii hapo Dom, Dar utapasikia tyuuh.
Woiiiiiih
 
Trokaaaaaaa!!!

Huna lolote, unapigwa na jua kalii hapo Dom, Dar utapasikia tyuuh.
Woiiiiiih
Ahahahha alooh weeeeh....
Mimi nouma muulize hata mtoto bad marioooo.....

Mi siifanyi kwa njaa hi kutu 😁😁😁😁😁
 
🀣🀣🀣🀣🀣

Zile Zama ubazazi ulikuwa umepamba Moto saaana
Kilichosaidia zama zile hakukuwa na maradhi mengi kama miaka hii, japo utofauti wa mabinti wa zama zetu na hawa wa zama hizi ni utundu tu kunako 6*6

Nakumbuka Mwaka 47 bila ndugu kunigomea, nilitaka kumhonga binti mmoja Kiwanja cha familia baada ya kuzidiwa na utundu wake πŸ˜œπŸƒπŸƒπŸƒπŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…