Ww kunipiga mimi bado, wamenishindwa wenzio ww utaniweza?? We huogopi??
Hii selfika nnayo na natamba nayo, bila amsha zangu uzi unapoa.
Yani nipo na bado nitakuwepo, mi ndo head girl wao humu..
Unataka ndio, hutaki ndio hivyo.!!
Kula pilau la idd utulie