Selfika na JF: Snap it. Show it

Halafu usikute hii ni ID moja kwa maana hizi couple za ja ni noma unakuta unajiuliza na kujijibu mwenyewe, toka nilipoona unatuma picha za ku downoad nikajua tu hapa kazi ipo, halafu kuna picha nnayo sijui niweke hapa...
Dogo naona kukukumbusha ulivyokuaga huko nyuma umeumia sana, unaanza kuattack uliokua unawasifia
 
Stupid....
Mnajitia best couple ya JF kumbe picha za kudownload..... πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
yaan imebidi nichekee tyuu, woiiiiiih
Ila watu jamaniiii, khaaaah
 
Si umuulize huyo coca yupo hapa... Bro una fail..
We na couple yako hapa ni kitukona picha zenu za kudainilodi... najua ina ku hit so hard lakini hamna namna πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Nilijua lazima utapoteana, ulianza kama mshauri mara kutongoza wakati upo group la walioleft, sasa hivi unaanza tena kushambulia uliokuwa unawasifia mwanzo
 
Umeona eeh Mjukuu, Wazee tunapenda yale mapishi mengine kuliko hayo mapishi yenu ya Chapati πŸ€—
πŸ˜€πŸ˜€Kuna Uzi wa 2012 anatafuta jimama Tanga nikasema huu Uzi sio Babu kweli huu enzi zake maana sahiz Kawa mzee wa ovyo 🀣🀣🀣
 
Kazi unayo kumbe huwa unasave picha zinazotumwa za watu?!! Haya unazifanyia Kazi gani?? Kumbe ww kidampa km coca alivyosema?!! Pole sana kumbe picha zinakutesa kiasi hicho??
hivi nyie kwani lazima mie nihusike kwenye kila ugomvii? Em mniachee bhanaa.

Mie sitaki Ban tenaa sahivi.
 
Dogo naona kukukumbusha ulivyokuaga huko nyuma umeumia sana, unaanza kuattack uliokua unawasifia
Kuna siku moja hapa unajitia kum post manzi ako, eehhh, si ukatuma picha ya kudownload, nikaipimia halafu nikminya reli, silent, nimgetaka kukuaibisha hapa ingekuwa mtafutano....

Bro hebu achana na hizi issue, ntakuabisha hapa ubadili na ID...
 
kumekuchaaaaa!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…