[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaa!!!!Mm na kufurahisha genge wapi na wapi, ww na wenzako watatu mlimwama wapi coca amawazidi? Na kwa nn huwa hampendani?
Sijui maisha magumu, sijui tafuta pesa, unajipa tabu tu mm siwezi kujisifia kwako nyie ambao coca anawaita "vidampa wenzake"
Kuhusu la manzi kuniacha sijui blah blah gan achana nalo, hii ndio convo yetu toka asubuhi whatsapp, so tulia tafuta mbinu uwe kama na nyota ya coca
😂😂😂😂 kumpindua coca hawezi, huyo ana nyota ya bundiHuyu dogo alitaka ampindue coca, coca akamuambia hana nyota. Sasa Kuna mtu hapo kweli
Siwezi tongoza mazni hapa public muambie manzi yako alete chats za PM, mi si mjinga Dogo...Nilijua lazima utapoteana, ulianza kama mshauri mara kutongoza wakati upo group la walioleft, sasa hivi unaanza tena kushambulia uliokuwa unawasifia mwanzo
Nilikua namkumbusha tu huyu dogo, maana kaja anajifanya kidume na kasahau huko zamani allifanya nn yeye na wenzake. Si qio huyu alibadili na ID baada ya kustukiwa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanini unahamisha ugomvi wenu na kuleta kwangu?
Country mie sitaki bhanaa,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nanyetukaa leo, vidolee vitaisha hivi, na joto la huku mbna vitanyekenyeka nyeeeeee.Umepika au ndo unaswampa kuvizia mapilau kwa jirani? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo ni maelezo ya coca, mpo wengi humu Ila nyie watatu ndio mlikua mnaona wivu
Huwezi futa message za PM, huwezi... naema leta hizo PM messages watu waburudike hapa...Nani atunze msg zako pm? Ukishakua vile tu ulivyo huwa unapuuzwa rasmi
Ilooo pyeee 🤣🤣🤣Leta screenshot hata za PM hapa muombe huyo shoga ako coca...
Mi nawamudu bado nataka mfike 10 ndipo mtanitosha...
Anatuchosha achana nayeUnaona sasa umeanza kuchanganyikiwa
Kalibadili I'd baada ya kushindwa, wenzake watatu sijui wapo wapi.Na ana wivu mbaya mana hampi nafasi coca apumue 🤣🤣🤣🤣
Best couple ya JF...Ilooo pyeee 🤣🤣🤣
Ww uachage uongo
Si shemeji yake lazima uhusike kwenye ugomvi wa familia 😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanini unahamisha ugomvi wenu na kuleta kwangu?
Country mie sitaki bhanaa,
Wee nae uwage buzzy na mambo yakoo, kutwaa kuranda randa na yasiyokuhusu, ndo maana yanakukuta haya.Si umuulize huyo coca yupo hapa... Bro una fail..
We na couple yako hapa ni kitukona picha zenu za kudainilodi... najua ina ku hit so hard lakini hamna namna [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikua namkubusha kuwa hajiamini
We umekuja wa 3, nataka mfike 10...Wee nae uwage buzzy na mambo yakoo, kutwaa kuranda randa na yasiyokuhusu, ndo maana yanakukuta haya.
Em kua km mwanaume bhana, unaboaa!! Mxxxxiiiiieeeew
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahSio shida zetu uduguu uzi bila sie haunogi huu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sis ndo tunaamua uchangamke au upooze
Hujui sasa useme tena nn, naona ulijua tumesahau ulivyokua nyumaKuna siku moja hapa unajitia kum post manzi ako, eehhh, si ukatuma picha ya kudownload, nikaipimia halafu nikminya reli, silent, nimgetaka kukuaibisha hapa ingekuwa mtafutano....
Bro hebu achana na hizi issue, ntakuabisha hapa ubadili na ID...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie akiiii, ntapasua cm kwa kuangushaa. LolNa ana wivu mbaya mana hampi nafasi coca apumue [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]