Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa kweli wamakonde wapewe mauwa yao,unakuta kafunga mzigo wa kuni kiunoni mi moja tu imenishindwa na nashukuru mwenzangu aligoma siku ileile aliikata.
Na wakikushikia mume utajuta wale πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Bombii nyumbii
wakunyumbaaa!!!

Ila kwetu kuna pombe za kienyeji balaaa, afu sasa sio watoto wala wakubwa ni kulandukaaa tyuuu.

Mie kwenye Ulanzi hunitoi, namaliza Sado 2 fyaaaa. Nikitoka hapo ni mwendo wa kudance,
 
ulanzi unakunywa mtogwa au ule mkangafuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚m napenda mtogwa mtamu kama fanta pineapple
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…