Selfika na JF: Snap it. Show it

Uduguu utajipenda jaribu uone.!! Nilivyomaliza nikalipiga picha nikamtumia beibeeyyy aone mali yake
chiziii wee, sahivi niko makini ktk kutunza tamu ya ba tamu, sitaki makolezo ya kiwakiiii.

Ukute had mishipa ya uti wa mgongo ina stuck, wee kuwezaa?
 
Yanakosaje kwa mfano? Mpk komoni, halafu kuna bar kila jpili wana mbege. Basi nikitoka church napitiaga kula mbuzi choma, nakuta watu wameshika vile vilita. Kesho naagiza nikitoka church
komoni na myakayaaa, uduguu umenikumbusha mbaliii sanaaa.
 
leo nimemuonesha ba tamu nikiwa napiga ulanzi ukiwa kwenye Robo, anajibu "unakunywa matapu tapu?"

Hivi hajui ulanzi utamu wake, wee
ulanzi unaujuaπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜Ž
 
unavaa mavitu yanakupapasa kiunoni kila unakoenda mxiuuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚dadeq mi sivai yaani kiuno kina perform chenyeeeeewe,,,nshalewa usingiz apaπŸƒπŸΎβ€β™€οΈ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ww mzoefu bana, tena unajua kuyatumia vzr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…