Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapana huyo Bro niliona picha yake, amekomaa miguu sana na ana vigimbi...

Halafu mwanaume hata akae pozi lipi unamjua tu..

Ila watu wana roho ngumu sana, bro alivyo komaa utasema anacheza karate..
Sasa kwanini hukusavee, ili uwage unatoa uthibitisho?
Wenzio waliweka na kipili pili kuthibitisha yanayojiri PM.

, wee unakwamaa wapiiiii?
 
Zipo nyingi, ila hii si ya matukio, ukiona hadi naifanyia haya matukio ujue nimekuelewa mtoto mzuri..
Na unazo nyingi kweli, ndo raha ya JF mtu ana id fake na parody lingine la kupungia upepo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Halafu ndo tuwe serious humu!! Thubutuuu
 
Sasa kwanini hukusavee, ili uwage unatoa uthibitisho?
Wenzio waliweka na kipili pili kuthibitisha yanayojiri PM.

, wee unakwamaa wapiiiii?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ila uduguu eti kipilipili
 
Na unazo nyingi kweli, ndo raha ya JF mtu ana id fake na parody lingine la kupungia upepo

Halafu ndo tuwe serious humu!! Thubutuuu
wapoo walio serious, na picha za sado zenye nyasi fupi fupi wanatuma.
 
Niogope nini...
Mwanaume kujiamini...
 
wapoo walio serious, na picha za sado zenye nyasi fupi fupi wanatuma.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Hatareeee ila sado kubwa ile na zile nyasi sijui za vitunguu maji?? Halafu kisado pembeni kina matope
 

Hatareeee ila sado kubwa ile na zile nyasi sijui za vitunguu maji?? Halafu kisado pembeni kina matope
uduguuu, ba tamu atanipora cm ujue.
Nahisi kuna kitu anafanya sebuleni, akitoka huko ni kuninyang'anya cm.

Aaaah weeee!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…