yaishe kweli, au unajipanga uje na lipiii?
Uzuri mie utakavyokuja nakupokea hivyo hivyooo.
hayaa chati na mtoto mzuri, uwe shem, ila kumbuka had mie nimshawishi akukubalie, viginevyoo utagonganisha sana meno upate kithembe, na mchuchu usimpatee.
Wee huogopiiiii?