Selfika na JF: Snap it. Show it

kumbe ndo zako kuniuza kwa kaka zako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwani unalipwa shingap wii
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hamna wifi yoyote utakayekuwa naye sawa tyuu!! Wote fam
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hamna wifi yoyote utakayekuwa naye sawa tyuu!! Wote fam
sema sasa ninaemtaka hanitakiπŸ˜‚πŸ˜‚ngoja nipambane nikishindwa nitakuomba msaada wifi,,yan wewe kwa namna yoyote lazima uje kua wifi seriously πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
@Lomamy yule dogo wa kuomba msaada wa ada nimekuachia 🀣🀣🀣🀣🀣🀣 kanishinda tabia. Why aliona aibu kujisema kuwa niyeye eti rafiki yake. Kwenye shida huwa kuna aibu kweli? Ngachoka, haoni wenzake wanafata watu kuwaomba hela PM. Atupishe...
 
sema sasa ninaemtaka hanitakiπŸ˜‚πŸ˜‚ngoja nipambane nikishindwa nitakuomba msaada wifi,,yan wewe kwa namna yoyote lazima uje kua wifi seriously πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Weeh yupi huyo? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kumbe yupo unayemtaka??
 
Kantibua mpk nilitamani Max angeweka sehemu ya voice note nimcharure..!! Katupotezea muda wetu kumuombea msaada kumbe sio muaminifu.
Sasa alivyokuwa anasema rafiki yake kumbe ni yy mwenyewe?? Nimemwambia had hapo husaidiki ng’o
 
Halafu hujanimalizia story nawe dada ile ya kunangwa picha zetu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Bora tujadili haya kuliko waomba misaada ni matapeli tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…