huyu mie namshangaa, hajawahi nitongoza na hatukuwahi zungumza chochote kuhusu love, ila yeye ndo alikua ananikubalii akijua ni ka dyadyaa.
Sasa baada ya kuambiwa mie ni kidampa, kaanza chuki na hasira, sasa km hana interest na vidampa si awe buzzy na galz, uzuri mie sina hata tyme nae, niko buzzy na yangu.
Ila yeye hawezi kaa bilaa kunifata fata,
JF ina heka heka hatariiii.