Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Ile pic uliyotuma PM ukiweka hapa watadata sana😅😂😂😂😂 Hatareeee
Ile pic uliyotuma PM ukiweka hapa watadata sana😅😂😂😂😂 Hatareeee
Mmhhh super mfupi mim.Selfika love toto ya kisukuma, the super tall 😍😍😍
Uduguu umeanza kulewa 😂😂😂😂Moderators!!!!
Huu uzi ulipoa km kojo LA hanithii, yaan haukua na uchangamfu, ila leo kutuachia huru mie na udugu wangu, li uzi limefufuka km nsyuka toleo jipyaaa.
Yaan linatatalika utadhani mtu anaoga nje,
Mtupe maua yetuu, Selfika ina wenyewee, na wenyewe ndo sie.
Naona leo hapo JF HQ mnautazama huu uzi ukiwa wa
Lazima niwachaneee makavuu, Selfika inabebwaa na heka heka.
Na wenye heka heka ndo sie, afu hatulazimishii tunazimuduuu.
Wachachuajiiii km wachachuajiii tuko winjaaaaa winjaaaaaa!!!!
Kaeni kwa kutuliaaa, mtazamee manjegekaaa yanavyonjegeshwaaa.
![]()
Wee muongo, em tuma kwangu bhana.Unasemaaa??huyo atapotea hewani



😂😂😂😂 Acha tyuuu!! Kwanza nilie 😭😭😭Umetoka kushushuliwa wapiii?![]()
😂😂😂😂hatareeee
🤣🤣🤣🤣 khaaaaa!!!Ile pic uliyotuma PM ukiweka hapa watadata sana😅
Niko busy na babe PMWee muongo, em tuma kwangu bhana.
Mie ni mbeba mkoba wake, ila sio chawaaa.
Kama ushawish umegoma nifanyaje sasa😅🤣🤣🤣🤣 khaaaaa!!!
Ila wewe kumbe nawe una hekaheka
Na mwamba alivyo mnene kama Mimi jumlisha hekaheka zako atabaki kuni😀



nimechekaa had bas, wee huoni misuli ile?Ufupi umeupata lini?? Bina unazingua kwamba zile pic unazotupia hapa wee mfupi??Mmhhh super mfupi mim.
Uko poa lkn.
Muwashie na taa asipate kisingizio 😂😂😂Namsogezeaaaa![]()
Ndio bina me mfupi zile ni picha tuUfupi umeupata lini?? Bina unazingua kwamba zile pic unazotupia hapa wee mfupi??
😂😂😂😂 mwambie huyoWee muongo, em tuma kwangu bhana.
Mie ni mbeba mkoba wake, ila sio chawaaa.
😂😂😂😂🙌🙌Niko busy na babe PM
😂😂😂 huo ushawishi kibokoKama ushawish umegoma nifanyaje sasa😅
Haya tupia tuone sasa km kweli we mfupiNdio bina me mfupi zile ni picha tu
Mtoto udanganyiki kwa pesa😅😂😂😂 huo ushawishi kiboko
😁Picha zote zilipendwa mamyHaya tupia tuone sasa km kweli we mfupi