Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna modes nkamnawa na hilo, alicheka had kusemaa mie siwezi acha heka heka.

Zivu km mkutano wa siafu ulio ahirishwaaa.
Weeeh nambie koma 😂😂😂😂
Hapo kwenye mkutano ulioharishwa ndo pa kukazia na spana
 
nakuambiaa, nawashwaa hatarii kuanza vuruguu.
Sitakagi amani, hata mparee wangu anajua.
Mwenzio nimetoka kushushuliwa sina hamu hapa, na nna ubalozi wa amani sijui nafanyaje?? 😂😂😂
 
Back
Top Bottom