Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,276
- 87,094
Hakuna Wapare warefu labda kamix 😂😂😂afu ameoa mwaka jana Kaka ake.
Mparee mrefuu, had nahisi anadanganya, japo ubini wake una akisi upareni.
Hakuna Wapare warefu labda kamix 😂😂😂afu ameoa mwaka jana Kaka ake.
Mparee mrefuu, had nahisi anadanganya, japo ubini wake una akisi upareni.
Azitume kwako unitumie nihakikishe km kweli 😂😂😂😂@Lamomy uduguu unaitwa PM kwa lekcharaaa, tupate maokotooo.
hatareee uduguu!!
Sasa miguu km fito lkn si inakanyaga breki na clutch!! Wao yao ya kupalilia iko wapi???



uduguu mbna km unanikokii nijimwayee mwayee, nitupwee ukonga. Woiiiiih😂😂😂😂 na walifurahi kidogo watoke mapangoni!! Hawajatuzoea tuRefariiii haamini ushindi anawapaa upinzanii,![]()
Wee ni mfupii? Mbna mrefuu bhana,
Mie naambiwa miguu km fito, jamaniiii ila watu aaah.
😀😀😀😀Fuko la pesa wohiii ðŸ¤ðŸ˜‹ðŸ˜‹ðŸ˜‹Wewe si unapiga teke fuko la pesa😅
Hakuna Wapare warefu labda kamix![]()



maza ake mnyalu. Labda urefu kautoa kihesa.@Jack Palladino wee lekcharaaa hebu soma mwenyeweeAzitume kwako unitumie nihakikishe km kweli![]()




Weeeh nambie koma 😂😂😂😂Kuna modes nkamnawa na hilo, alicheka had kusemaa mie siwezi acha heka heka.
Zivu km mkutano wa siafu ulio ahirishwaaa.
![]()
Yaan mpaka uje weweFuko la pesa wohiii ðŸ¤ðŸ˜‹ðŸ˜‹ðŸ˜‹
Treeeeenaaah 😂😂😂😂uduguu mbna km unanikokii nijimwayee mwayee, nitupwee ukonga. Woiiiiih
Hapo sawa ningeshangaa 😂😂😂😂maza ake mnyalu. Labda urefu kautoa kihesa.
Asome kwa makini 😂😂😂😂@Jack Palladino wee lekcharaaa hebu soma mwenyewee![]()
Weeeh nambie koma
Hapo kwenye mkutano ulioharishwa ndo pa kukazia na spana



nakuambiaa, nawashwaa hatarii kuanza vuruguu.Wacha weee 😜Yaan mpaka uje wewe
Usinisukumizieee mlangoni, naenda taratibuTreeeeenaaah
Jimwaye kidogo basi




Kitaeleweka soon naona unaanza kulainika babe😅Wacha weee 😜
Mwenzio nimetoka kushushuliwa sina hamu hapa, na nna ubalozi wa amani sijui nafanyaje?? 😂😂😂nakuambiaa, nawashwaa hatarii kuanza vuruguu.
Sitakagi amani, hata mparee wangu anajua.