Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kelele miiiingi.... Vibamia utavifahamu tu
21706628-0-image-a-36_1575286785753.jpeg
 
Yeah sana hata ule wimbo alioimba na Nicki Minaj unaitwa dungeon dragon nao ni

But hiyo ndiyo long form ya EMINEM aliyoikusudia kweli au raia tu mmeongezea??
Monster vipi???
Na My name Is....!
Hiyo alikusudia bibie si Alipitia Child abuse mama ake pia alikua ni mtu wa madawa ndio maana kajiita hvo. Wewe ukimuona yule jamaa psychologically unaona yupo normal??
 
Mimi imenichukua zaidi ya miaka 10 hadi kuamua kuangalia na kuzimaliza.Nilikuwa naishia njiani siku zote. Ila this time huwezi amini nimeziangalia zote hii weekend iliyopita
Loh hapana japo zinapendwa na wengi ila sijawahi zipenda..
Hata mimi Marvels nilikua sijazielewa au kuziona zote.. ila nimeanza mwaka jana sasa nishakua Addicted
 
Monster ile aliyoimba na Rihanna?? Hizo nyingine kawaida sana mimi my best Eminem songs ni Not Afraid na Rap God!!

Oohh yeah psychologically anaonekana hayuko normal lakini pia si nasikia kuna siri kubwa nyuma ya pazia?? He was Cloned!!
Monster vipi???
Na My name Is....!
Hiyo alikusudia bibie si Alipitia Child abuse mama ake pia alikua ni mtu wa madawa ndio maana kajiita hvo. Wewe ukimuona yule jamaa psychologically unaona yupo normal??
 
Back
Top Bottom