Dah hapo kwenye kunifananisha na wahaya,umenikata stimuπππ....
Kwa kuwa wewe ni Babu mwema usietaka Kiko kama Babu Grahams nitakupa opportunity ya kuwa designer
Kesho nitapita Mbeya Pazuri kupata wine kidogo, maana Profesa Janabi ametushauri Wazee tupige pige wine kidogo Kwa ajili ya maendeleo ya afya zetu π
Kesho nitapita Mbeya Pazuri kupata wine kidogo, maana Profesa Janabi ametushauri Wazee tupige pige wine kidogo Kwa ajili ya maendeleo ya afya zetu π