100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 8,791
- 30,985
Hio nguna ni appetizer tu, msosi kamili kuna kande na maziwa ya mtindi kabla ya kumalizia mahindi ya kuchemsha hio ndio dessert, sisi wakulima mkuu, lazima ule usije jifia shamba unapiga jembe..naona bwana harusi kachoka ghafla