Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,916
- 59,977
Ntakutumia selfie nikiingia tu kwa 🚌 😎Hapa kwetu uswahili tumezoea hata sukari tunapeana, Ondoa shaka mgeni kila kitu kimeenda sawa .
Nakusubiri,navunja safari zote sababu yako mgeni..!
Uniambie muda wa kufika maana ninahamu ya kiwango cha juu na huu ugeni .
Please zingatia mgeni anapenda sana TV, kula na kulala. Kama inabidi abadilike kuendana na mazingira basi arudishe zake nguo kabatini, maana hata majirani wanaweza wasimpende sana.