Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapa kwetu uswahili tumezoea hata sukari tunapeana, Ondoa shaka mgeni kila kitu kimeenda sawa .

Nakusubiri,navunja safari zote sababu yako mgeni..!
Uniambie muda wa kufika maana ninahamu ya kiwango cha juu na huu ugeni .
Ntakutumia selfie nikiingia tu kwa 🚌 😎

Please zingatia mgeni anapenda sana TV, kula na kulala. Kama inabidi abadilike kuendana na mazingira basi arudishe zake nguo kabatini, maana hata majirani wanaweza wasimpende sana.
 
Ndugu mjumbe
Mambo hebu nitoe ushamba haya macaroni ni matamu kabla sijaharibu mambo
Unapika na mboga gani???

Binafsi nayapenda sana!!!!🤤

Hayana tofauti na 🍝 ...ila ka-sauce flani hivi ka mincemeat, meatballs au nyama ya kawaida inahusika sana!!!
 
Ntakutumia selfie nikiingia tu kwa 🚌 😎

Please zingatia mgeni anapenda sana TV, kula na kulala. Kama inabidi abadilike kuendana na mazingira basi arudishe zake nguo kabatini, maana hata majirani wanaweza wasimpende sana.
Sijapata selfie yeyote toka kwako hadi sasa,nakutwangia simu sitaki mchezo kabisaaaaa!🤣

Usirudishe viwalo tafadhali maana nimekopa pesa ya runinga na chakula miezi 3 sababu yako,ubebe kila kilicho chako maana napenda sana wageni.
 
Sijapata selfie yeyote toka kwako hadi sasa,nakutwangia simu sitaki mchezo kabisaaaaa!🤣

Usirudishe viwalo tafadhali maana nimekopa pesa ya runinga na chakula miezi 3 sababu yako,ubebe kila kilicho chako maana napenda sana wageni.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Yani unaniruhusu kuhamia kabisa??😯😁
🤳🏽 itakuja soon...ni mtandao tu unasumbua!🥴
 
Unapika na mboga gani???

Binafsi nayapenda sana!!!!🤤

Hayana tofauti na 🍝 ...ila ka-sauce flani hivi ka mincemeat, meatballs au nyama ya kawaida inahusika sana!!!
Sijapika mwaya Bado nawaza nisije kulala njaa nitajaribu 😂😂
 
The vibe
FB_IMG_17074713630027791.jpg
 
Back
Top Bottom