Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi pia kanisusa ila nitajitahidi ujumbe ufike
Mwanzoni nilidhani mnaishi Mtaa mmoja kumbe mpo miles away 🙌

Halafu ulisema ungenitumia ugoro wangu, naona kimya hadi leo

Hujui nina arosto Babu yenu 😜
 
Mwanzoni nilidhani mnaishi Mtaa mmoja kumbe mpo miles away 🙌

Halafu ulisema ungenitumia ugoro wangu, naona kimya hadi leo

Hujui nina arosto Babu yenu 😜
Babu wewe ndio chanzo Cha haya yote ugolo usiupate Kwa wakati,tulikubaliana ukiwapokea binamu Jack na Morgan unavyotukutanisha nao na sisi twaja na ugolo wako,Cha ajabu nakuona tu kwenye viwanja vya ndege unazurula,Mzee una mazito wewe🙆🙆
 
Babu wewe ndio chanzo Cha haya yote ugolo usiupate Kwa wakati,tulikubaliana ukiwapokea binamu Jack na Morgan unavyotukutanisha nao na sisi twaja na ugolo wako,Cha ajabu nakuona tu kwenye viwanja vya ndege unazurula,Mzee una mazito wewe🙆🙆
Mzee wenu nilikuwa nafatilia mbolea yangu huko Mjini, si unajua Msimu wa Kilimo huu 🤗

Kuhusu binamu zako usijali, next weekend watakuwa huku.

Jiandae uje na ugolo wangu tu 🤗
 
Mzee wenu nilikuwa nafatilia mbolea yangu huko Mjini, si unajua Msimu wa Kilimo huu 🤗

Kuhusu binamu zako usijali, next weekend watakuwa huku.

Jiandae uje na ugolo wangu tu 🤗
Babu kwani wewe hutumii mbolea za ruzuku?
 
Hivi si utulie?umefika tu kuanza kumtwisha maneno mazito Babu yetu🤣🤣🤣 utapigwa tero
Bora umesema, maana Kwa mbali nilikuwa namwona mods akitaka kubonyeza button ya ban 😅

Pamoja na kuvaa koti jipya lakini harufu ya perfume yake hadi huku Kijijini Babu yenu nimeisikia 🤗
 
Natumia Mjukuu, ila zina miezi mitatu huku hazijafika

Nifanyieni mpango mwakani nizipate mapema Mjukuu 🤗
Hili liko ndani ya uwezo wangu,ondoa shaka...nakutumia link ujiunge na chama chetu,hiyo tshirts tulipewa mkutano mkuu wa mwaka mwezi uliopita babu
 

Attachments

  • IMG_20240508_112904_627.jpg
    IMG_20240508_112904_627.jpg
    2.3 MB · Views: 6
Bora umesema, maana Kwa mbali nilikuwa namwona mods akitaka kubonyeza button ya ban 😅

Pamoja na kuvaa koti jipya lakini harufu ya perfume yake hadi huku Kijijini Babu yenu nimeisikia 🤗
Tatizo anapaka perfume za uarabuni,kaliiii inabidi tumbadilishie aanze paka za Italy
 
Hili liko ndani ya uwezo wangu,ondoa shaka...nakutumia link ujiunge na chama chetu,hiyo tshirts tulipewa mkutano mkuu wa mwaka mwezi uliopita babu
I'm real thankful 🙏

Nafurahi kwamba yale mafunzo tuliyokupatia ya kulima bado unayaenzi japo umehamia Mjini 🤗👏
 
Back
Top Bottom