Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 22,031
- 52,303
🤣🤣Jasiri haachi asilii...endelea Kula Papaa na ugali wa dooonaaamie nala papaa tuu
🤣🤣Jasiri haachi asilii...endelea Kula Papaa na ugali wa dooonaaamie nala papaa tuu
Mwanzoni nilidhani mnaishi Mtaa mmoja kumbe mpo miles away 🙌Mimi pia kanisusa ila nitajitahidi ujumbe ufike
Hivi si utulie?umefika tu kuanza kumtwisha maneno mazito Babu yetu🤣🤣🤣 utapigwa terohili jina nikiitikio cha dua shekhee acha umalayaaaa
Babu wewe ndio chanzo Cha haya yote ugolo usiupate Kwa wakati,tulikubaliana ukiwapokea binamu Jack na Morgan unavyotukutanisha nao na sisi twaja na ugolo wako,Cha ajabu nakuona tu kwenye viwanja vya ndege unazurula,Mzee una mazito wewe🙆🙆Mwanzoni nilidhani mnaishi Mtaa mmoja kumbe mpo miles away 🙌
Halafu ulisema ungenitumia ugoro wangu, naona kimya hadi leo
Hujui nina arosto Babu yenu 😜
Hii ya leo nimeamini amini ila sio kivilemshamba_hachekwi njoo unitolee huyu mtu😂 mnapenda kusifia hovyooo
Mzee wenu nilikuwa nafatilia mbolea yangu huko Mjini, si unajua Msimu wa Kilimo huu 🤗Babu wewe ndio chanzo Cha haya yote ugolo usiupate Kwa wakati,tulikubaliana ukiwapokea binamu Jack na Morgan unavyotukutanisha nao na sisi twaja na ugolo wako,Cha ajabu nakuona tu kwenye viwanja vya ndege unazurula,Mzee una mazito wewe🙆🙆
Babu kwani wewe hutumii mbolea za ruzuku?Mzee wenu nilikuwa nafatilia mbolea yangu huko Mjini, si unajua Msimu wa Kilimo huu 🤗
Kuhusu binamu zako usijali, next weekend watakuwa huku.
Jiandae uje na ugolo wangu tu 🤗
Bora umesema, maana Kwa mbali nilikuwa namwona mods akitaka kubonyeza button ya ban 😅Hivi si utulie?umefika tu kuanza kumtwisha maneno mazito Babu yetu🤣🤣🤣 utapigwa tero
Natumia Mjukuu, ila zina miezi mitatu huku hazijafikaBabu kwani wewe hutumii mbolea za ruzuku?
Hili liko ndani ya uwezo wangu,ondoa shaka...nakutumia link ujiunge na chama chetu,hiyo tshirts tulipewa mkutano mkuu wa mwaka mwezi uliopita babuNatumia Mjukuu, ila zina miezi mitatu huku hazijafika
Nifanyieni mpango mwakani nizipate mapema Mjukuu 🤗
Tatizo anapaka perfume za uarabuni,kaliiii inabidi tumbadilishie aanze paka za ItalyBora umesema, maana Kwa mbali nilikuwa namwona mods akitaka kubonyeza button ya ban 😅
Pamoja na kuvaa koti jipya lakini harufu ya perfume yake hadi huku Kijijini Babu yenu nimeisikia 🤗
We ni muongo Sana😏Mbn nilituma hujaiona ? Nilituma hapa na PM ,hahahaha
Nipo poker ngoja niselfike😀Lamomy Depal Saint Anne Chakorii Aaliyyah Nuzulati Mahondaw Lovelovie Lenie Dr Lizzy cocastic mshamba_hachekwi Carasco Putin raraa reree Vincenzo Jr Red black Ntiluseswa Active Grahams Alayna Darlin Kelsea Hannah Mshana Jr Jack Palladino Mjep reymage nawasalimia sana wadau wanguvu sana mje mselfike jamani
I'm real thankful 🙏Hili liko ndani ya uwezo wangu,ondoa shaka...nakutumia link ujiunge na chama chetu,hiyo tshirts tulipewa mkutano mkuu wa mwaka mwezi uliopita babu
Salama PokerLamomy Depal Saint Anne Chakorii Aaliyyah Nuzulati Mahondaw Lovelovie Lenie Dr Lizzy cocastic mshamba_hachekwi Carasco Putin raraa reree Vincenzo Jr Red black Ntiluseswa Active Grahams Alayna Darlin Kelsea Hannah Mshana Jr Jack Palladino Mjep reymage nawasalimia sana wadau wanguvu sana mje mselfike jamani