PUFF DADDY
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 391
- 808
hili jina nikiitikio cha dua shekhee acha umalayaaaa
hili jina nikiitikio cha dua shekhee acha umalayaaaa
Kunde zile nyekundu wanazouza madukani! Ndo hizo mbichi au kavu mimi sijui🤣🤣🤣 Yaani asubuhi ushakula,mie bado nazungukazunguka tu...Hizo kunde mbichi au kavu?nimehisi kitakuwa kitamu
Mimi mpembaaSasa mbona unaandika kama mndengereko wakati we mzaramo?
Babu tuko pamoja,ila tuuchune maana huyo mjukuu wako unaemuwazia ni most wanted dead or alive,wakimgundua tu wanamsweka rumande🥲🥲
Mbichi namaanisha zikiwa bado za kijani tunazochanganya kwenye kisamvu... anyway nimekupata vyemaKunde zile nyekundu wanazouza madukani! Ndo hizo mbichi au kavu mimi sijui
Yakheeeee Wala urojo?Mimi mpembaa
Ungejuta🤣Kwa kweli 😅
Japo nilishaanza kumtungia mistari, ilibaki njiwa afike tu nimtume 😜
Ebhanaeeeeeeee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Good Morning Selfika🥂
View attachment 2984222
Hatari 😅Ungejuta🤣
Inanitokeaga hasa Kama mtu sijamzoea ila namzimikia sanaMoyo unaenda kasi! Mikono inatetemeka kwa sababu gani?
nanii huyoo weyeeBabu tuko pamoja,ila tuuchune maana huyo mjukuu wako unaemuwazia ni most wanted dead or alive,wakimgundua tu wanamsweka rumande🥲🥲
mshamba_hachekwi njoo unitolee huyu mtu😂 mnapenda kusifia hovyoooEbhanaeeeeeeee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Pole! Basi potezea ili moyo wako usiende tena kasiInanitokeaga hasa Kama mtu sijamzoea ila namzimikia sana
mie nala papaa tuuYakheeeee Wala urojo?
Amefanya nini hadi awe wanted kiasi hicho?Babu tuko pamoja,ila tuuchune maana huyo mjukuu wako unaemuwazia ni most wanted dead or alive,wakimgundua tu wanamsweka rumande🥲🥲
Kusifia hovyo ndio kukoje huko ephen_ 😄mshamba_hachekwi njoo unitolee huyu mtu😂 mnapenda kusifia hovyooo
Sawa nafanya hivyoPole! Basi potezea ili moyo wako usiende tena kasi
Ulitaka kusema Amen 🙏hili jina nikiitikio cha dua shekhee acha umalayaaaa