Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,654
- 16,020
Umeona skaff hiyo najitandaVaa sweta twende 😂😂
Me hapa nimevaa mpk soksi,, baridi imetaradadi kinyama
Halafu mwezi wa sita Nina safari ya arusha ngoja niandae masweta ya kutosha
Umeona skaff hiyo najitandaVaa sweta twende 😂😂
Me hapa nimevaa mpk soksi,, baridi imetaradadi kinyama
Irudiwe tu jamaniUmechelewa [emoji1787]
Mnangangania kukaa dar 🤣🤣🤣Irudiwe tu jamani
Na hizi mvua,huku tunapambana na mafuriko,huku tunapambana tuone picha
Yah. Kama huna sweta baridi kava shingo na skafu, miguu soksi. Maisha yanakuwa mepesiUmeona skaff hiyo najitanda
Halafu mwezi wa sita Nina safari ya arusha ngoja niandae masweta ya kutosha
Mnangangania kukaa dar 🤣🤣🤣
Au nikija naanzia tengeru hapo masweta kama yoteYah. Kama huna sweta baridi kava shingo na skafu, miguu soksi. Maisha yanakuwa mepesi
Hivi June si ndo ile inakuwaga mpk ukungu. Baridi baridi hapaeleweki yan
Yaaani sahivi watafute mitumbwi maana hawatoboiMtu anang’ania Dar ila kero zake zinamshinda. Hawatakiwi kulalamikia chochote🤣🤣
Huu mji una laana...Mnangangania kukaa dar [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kilichobaki ni kujenga safinaMtu anang’ania Dar ila kero zake zinamshinda. Hawatakiwi kulalamikia chochote[emoji1787][emoji1787]
Mvua nayo ina sifaYaaani sahivi watafute mitumbwi maana hawatoboi
Aiseee unatokea wapi? Labda ungepita ya magomeni ili uingilie karumeHuu mji una laana...
Nilikuwa nimepiga hesabu nipite njia ya makumbusho kwenda posta then niende kariakoo
Jana naona taarifa ya habari,daraja la salenda sijui sehemu imetitia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nisije kupita ndio tukawa mbuzi wa kafara tukashuka nalo.
Leo njia ya uhuru haipitiki,hizo sherehe za muungano taifa huko.
Ni hatari.. utadhani tupo kipindi cha Nuhu.
Hameni huko 🤣Kilichobaki ni kujenga safina
Tuelee kama Nuhu.
Usafiri njia hazipitiki.
Hiyo ya magomeni kwenda karumeAiseee unatokea wapi? Labda ungepita ya magomeni ili uingilie karume
Lina laana hili jijiHameni huko [emoji1787]
Kama hamna umuhimu bora usitoke maana unaweza hata usifanikishe ukichofataHiyo ya magomeni kwenda karume
Na ya Buguruni nadhani ndizo njia zilizobakia
Ila sasa leo zitakuwa na jam balaa maana huko taifa si ndio kuna maadhimisho ya sherehe za muungano.
Labda kesho angalau.
Mie nipo maporini Mbezi .
Amevua jersey ya YangaApril 26
Karibu mjumbe[emoji23]
Hahahahaa tuangoma unafikaje 🤣🤣Lina laana hili jiji
Mimi kuna mzigo wangu nafuata mjini niondoke zangu
Kasheshe kufika huko posta..
Sijui nizungukie Toangoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sitaki njia yenye maji kabisa
Uwezo wa kuvuka maji nimejitwika mizigo siwezi.
Una sh ngapi nikusomee?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
M23
Bado mwandiko hauji kwenye rada zangu
Ngoja niendelee kuuangalia
Ni muhimu[emoji23]Kama hamna umuhimu bora usitoke maana unaweza hata usifanikishe ukichofata
Plus tope la kkoo