πππCcy Mim pia nimeanza kusuka hapa kichwani nina mistari, natakiwa nikaifumue nianze kusuka leo, lkn tatizo nywele zinauma uwiiii uwiiiii uwiiiiii, Yani nikiwa nasukwa hadi nasikia kalio linauma,ππππ.
Alafu ijumaa kuna send off ya cuzo wangu. Nakutumia watsap uone kama utaipenda.