Selfika na JF: Snap it. Show it

Kweli nimezeeka Babu yenu, hiyo Rubisi ndiyo kinywaji gani Mjukuu?
 
Local made alcohol ya huku bushi babu!
Okay

Babu yenu nina Mwaka wa 50 huu natumia beer yangu pendwa ya John Walker 🍻 tu

Siku nikija huko nitajaribu kuonja hiyo beer yenu, perhaps could be somehow sweet πŸ€—
 
Okay

Babu yenu nina Mwaka wa 50 huu natumia beer yangu pendwa ya John Walker 🍻 tu

Siku nikija huko nitajaribu kuonja hiyo beer yenu, perhaps could be somehow sweet πŸ€—
Rubisi / kalinya Bia ya Wananzengo huku huwaambii kitu babu!
Kumbe babu ni mnywaji pombe ??? Dohh
 
Bia ya Wananzengo huku huwaambii kitu!
Kumbe babu ni mnywaji pombe???
Nimeona Mwanza pia huwaambii kitu na bia yao ya Balimi πŸ˜…

Of course huwa nakunywa Mjukuu, mara ya kwanza nilianza kunywa Mwaka 1973.

Mwaka 1978 nilikunywa kunywa hadi kupelekea kuandikwa kwenye kile Kitabu maarufu cha "Ngoswe penzi kitovu cha Uzembe"πŸ™Œ
 
Balimi nadhani ni kanda ya ziwa yote. hio Rubisi/ kalinya ni zile pombe za asili mfano wa gongo huku wanatumia ndizi kutengeneza

😁😁🀠!
Kumbe babu ndio Ngoswe mwenyewe dohh! Ulitishaa!
Mapenzi yanarun dunia asee kumbe hadi wazee yaliwatikisa !

Hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…