Balimi nadhani ni kanda ya ziwa yote. hio Rubisi/ kalinya ni zile pombe za asili mfano wa gongo huku wanatumia ndizi kutengenezaNimeona Mwanza pia huwaambii kitu na bia yao ya Balimi π
Of course huwa nakunywa Mjukuu, mara ya kwanza nilianza kunywa Mwaka 1973.
Mwaka 1978 nilikunywa kunywa hadi kupelekea kuandikwa kwenye kile Kitabu maarufu cha "Ngoswe penzi kitovu cha Uzembe"π
Kumbe kuna Pombe wanatumia ndizi kutengeneza, me niliwahi kunywa Mbege ambayo inatengezwa na NdiziBalimi nadhani ni kanda ya ziwa yote. hio Rubisi/ kalinya ni zile pombe za asili mfano wa gongo huku wanatumia ndizi kutengeneza
πππ€ !
Kumbe babu ndio Ngoswe mwenyewe dohh! Ulitishaa!
Mapenzi yanarun dunia asee kumbe hadi wazee yaliwatikisa π!
Yeah hizo pia hutengenezwa kwa ndizi.Kumbe kuna Pombe wanatumia ndizi kutengeneza, me niliwahi kunywa Mbege ambayo inatengezwa na Ndizi
Ilikuwa ni tamu sana ππ
Hilo tukio la Ngoswe, kiketokea miaka mingi sitaki hata kukumbuka Mjukuu π
Kwasasa tumewaachia Vijana wapambane nayo π
Ha haaa πUna guu la biaπ
Damn gurl ππ₯π₯π₯π₯Ukwapi? Huonekani π raraa reree View attachment 2963465
Umependeza mdadaπππMuwe na jumapili njema wapendwa!
ππUkwapi? Huonekani π raraa reree View attachment 2963465
Asante mamiloo vipi hali yako?? Ushashusha???Umependeza mdadaπππ
vimeno vizuri jamani
Mambo yako πDamn gurl ππ₯π₯π₯π₯
Nilishusha mwezi wa tatu kesho tunafunga mwezi sis. Kababy boyAsante mamiloo vipi hali yako?? Ushashusha???
Nilishusha mwezi wa tatu kesho tunafunga mwezi sis. Kababy boy
KaribuDah π
Nawaangalia hapa mnavyokanyagwa πKaribu
Ameenπ. Nakusubiria rich aunt uje ubebe mtotoπ€Hongera sana mamy Mungu awatunze wewe na mtoto na awjaalie afya njema!