mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 17,119
- 53,114
Unaanza kidogo kidogo unaogopa nini unataka kuwa big mama?😂😂 tizi mateso bhanaa
Unaanza kidogo kidogo unaogopa nini unataka kuwa big mama?😂😂 tizi mateso bhanaa
Weka hapa sasa😁🤣😂Ndiyo
Michezo ipi depoo🤣😁😁Aache michezo 🤣
Nipe dawa ya kukata kitambi. Limao limekataa
Kunywa maji mengi anza kwenda gym 🤣😁😂 tizi mateso bhanaa
Njoo uone 📸Unaanza kidogo kidogo unaogopa nini unataka kuwa big mama?😂
Ngoja nimuite naniiiliuWeka hapa sasa😁🤣😂
Nani huyo ? MtajeNgoja nimuite naniiiliu
Kukunulia inaruhusiwa?Forever and always
Alooooooohh jezi imekutoa balrrraaaaaa
Hivi jezi shingapi?? Nataka ninunue nyeusi!
Nougaaa sana mwananchi !
Hakika Jioni yangu inaenda kuwa bareeeeeda kabesaaa! Wabheja sana
Barikiwa sana mkuu .Sema nimeshalipa kwenye duka la Kijiji hapa nasubiria kuletewa tu💚💛💛🖤💪!Kukunulia inaruhusiwa?
MUST pazuri wewe😅 googleDogo unacheka nn?
Unadhani ni MUST hapa! 😀
Hamna uzuri wowote mnasoma porini mnasoma porini mnasema ni pazuri hamna tumbili huko kweli? 🤣🤣🤣MUST pazuri wewe😅 google
2012 hii😅Hamna uzuri wowote mnasoma porini mnasoma porini mnasema ni pazuri hamna tumbili huko kweli? 🤣🤣🤣
View attachment 2950816
Hamna kazi hapo. Chuo cha kichoko hicho.2012 hii😅
Katucheki IG