Selfika na JF: Snap it. Show it

MUST pazuri wewe😅 google
Hamna uzuri wowote mnasoma porini mnasoma porini mnasema ni pazuri hamna tumbili huko kweli? 🤣🤣🤣



download.jpeg
 
2012 hii😅

Katucheki IG
Hamna kazi hapo. Chuo cha kichoko hicho.

Sema tu mpo vizuri kwenye modules na walimu kwa wastani. Alafu mbeya chakula bei rahisi. Kinoma unaweza kupewa pocket money ya 150k ukawa na akiba.

Ila mazingira mabovu kinoma
Madem wabovu kinoma.

Kuna jamaa yangu anasoma hapo ananielezea kila kitu hamna kazi hapo.

Njoo dsm 300k kwa mwezi tu hutoboi hapo huna dem, huna mtoto, pesa inaishia kwenye kula na kuishi 😆😆😆.

Dar pa moto we endelea kukaa porini dogo.

Sema nn si unamaliza mwaka huu diploma

degree uje mlimani utoe ushamba
 
Back
Top Bottom