Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Ni sehemu salama kabisaAngalia usigongwe na Nyoka
Ni sehemu salama kabisaAngalia usigongwe na Nyoka
Mmefanya nirudi chimbo nianze kuwaletea Picha za enzi za Uhuru tu, inaonekana picha za 71 hamzitaki kabisa 😜Hahahahahaha...mzee unanidanganya ni master wa hivi vitu nilisomea Algeria huko..
Hahahahahaha..labda hizo kdgMmefanya nirudi chimbo nianze kuwaletea Picha za enzi za Uhuru tu, inaonekana picha za 71 hamzitaki kabisa 😜
Huyo Mkuu ana bahati siye tuliyozaliwa enzi za Ukoloni hatukuwa tunapewa Vyeti vya Kuzaliwa, vinginevyo ningemletea aone vile tumekula chumvi nyingi 🤗Hahahahahahaha...Babu limempendeza lkn sio mbaya ..JF tuko kufurahi zaidi..
Najua za hivyo hataweza kubisha as ataniona niko na Wakereketwa wenzangu wa iliyokuwa TANU miaka ile 😜Hahahahahaha..labda hizo kdg
Hahahahaha za hivyo hata mie naeza kuwepo ujueNajua za hivyo hataweza kubisha as ataniona niko na Wakereketwa wenzangu wa iliyokuwa TANU miaka ile 😜
Hahahahaha..wala NIDA haujapata badoHuyo Mkuu ana bahati siye tuliyozaliwa enzi za Ukoloni hatukuwa tunapewa Vyeti vya Kuzaliwa, vinginevyo ningemletea aone vile tumekula chumvi nyingi 🤗
Mkuu una bahati tuliozaliwa zamani hatuna vyeti vya Kuzaliwa, vinginevyo ningekuletea hapa uone vile tumekula Chumvi nyingi 😜Anawaokotaga kweli humu. Naonaga babu, babu. Nikajua ni mtu mzima, kumbe dogo la juzi tu.
Hahaha...............itakuwa hatari hiyo 😅Hahahahaha za hivyo hata mie naeza kuwepo ujue
NIDA ndiyo wapo kwenye mpango wa kutumia Carbon 14 kuweza kutambua umri wangu.......maana Wazee wengi huwa tunasahau Mwaka tuliozaliwa 🤗Hahahahaha..wala NIDA haujapata bado
Hahahahaha..wafanye haraka wawapatie NIDA na nyieNIDA ndiyo wapo kwenye mpango wa kutumia Carbon 14 kuweza kutambua umri wangu.......maana Wazee wengi huwa tunasahau Mwaka tuliozaliwa 🤗
Huna numero yake telephone?
Nikajua ni mzee mwenzangu kweli, kumbe ni katoto kadogo hata 40 hakana🤣🤣NIDA ndiyo wapo kwenye mpango wa kutumia Carbon 14 kuweza kutambua umri wangu.......maana Wazee wengi huwa tunasahau Mwaka tuliozaliwa 🤗
Ni maombi yangu Kila Siku na sisi Wazee watukumbuke 🤗Hahahahaha..wafanye haraka wawapatie NIDA na nyie
😅😅 Vijana wameona picha ya lastborn wangu wamedhani ni MimiNikajua ni mzee mwenzangu kweli, kumbe ni katoto kadogo hata 40 hakana🤣🤣
Mkuu, Tresor Mandala, huyu dogo anatuchukuliaje?🤣
Itakuwa ni mzee kweli sema utakuta pombe hanywi na anazingatia taratibu zote za mlo kamili.Nikajua ni mzee mwenzangu kweli, kumbe ni katoto kadogo hata 40 hakana🤣🤣
Mkuu, Tresor Mandala, huyu dogo anatuchukuliaje?🤣
Hakuna mzee hapo mkuu, huoni picha zake kidevu kibichi ndio kinaanza kuota ndevu.🤣Itakuwa ni mzee kweli sema utakuta pombe hanywi na anazingatia taratibu zote za mlo kamili.
🤝Itakuwa ni mzee kweli sema utakuta pombe hanywi na anazingatia taratibu zote za mlo kamili.
Aaah wapi, sekondari tulifundiahwa kusoma picha na kutoa tafsiri mkuu. Usituharibie uzee wetu mkuu. 🤣🤣🤣😅😅 Vijana wameona picha ya lastborn wangu wamedhani ni Mimi
Wazee tumekula chumvi nyingi ujue 😜