Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Child-Showing-Tongue-Funny-Picture.jpg
 
Hahaha............nimeamua kuwa -bless Vijana picha ya Babu yao ya Mwaka 71's 😜
Kwa ulivyoviacha hivyo vindevu hapo kwenye picha, we bado dogo sana na unawatisha watu tu. Huna miaka zaidi 40's. Upo kwenye 30's hadi 40's mkuu. Siku zote nilikuwa najua unafanya utani ila leo ndio nimeprove rasmi.
 
View attachment 2935138
Tunapowaambia tumekula chumvi nyingi ni kweli tunamaanisha ........

Picha ya Mwaka 71's hiyo 😜

Hello Friday 🥂
Kwa sisi watu wazima, tunaziona na kutambua umri wa mtu kwa kuangalia vitu vidogo vidogo.

Ndevu za mtu mwenye miaka 30's na kitambi cha mtu mwenye 30's to 40's. Upo kwenye umri wa 30's to 40. Hujavuka 40's mkuu. Dogo sana wewe.
 
Kwa sisi watu wazima, tunaziona na kutambua umri wa mtu kwa kuangalia vitu vidogo vidogo.

Ndevu za mtu mwenye miaka 30's na kitambi cha mtu mwenye 30's to 40's. Upo kwenye umri wa 30's to 40. Hujavuka 40's mkuu. Dogo sana wewe.
Sawa sawa umepita mule mule..ila kwakua ni JF acha tumkubalie yeye ni muzee..hahahahahaha..ila ma master tulishaona hili
 
Kwa ulivyoviacha hivyo vindevu hapo kwenye picha, we bado dogo sana na unawatisha watu tu. Huna miaka zaidi 40's. Upo kwenye 30's hadi 40's mkuu. Siku zote nilikuwa najua unafanya utani ila leo ndio nimeprove rasmi.
Mkuu, Wazee wakikosea huwa wanaambiwa peke yao wakiwa pembeni........🤗

Picha ya Mwaka 71's hiyo lakini 😅
 
Back
Top Bottom