Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Karibu tukunywe biaGood
Karibu tukunywe biaGood
Hahahahaha..umeanza lini kunywa bia ? Na kwaresima hii..Niko msibani kuna mama wa kwenu huko Mbeya ametutokaKaribu tukunywe bia
Pole sanaHahahahaha..umeanza lini kunywa bia ? Na kwaresima hii..Niko msibani kuna mama wa kwenu huko Mbeya ametutoka
There you are Sir 🤗
AminR.I.P Mama Nibwene kosya
Karibu tukunywe bia
Kwa ulivyoviacha hivyo vindevu hapo kwenye picha, we bado dogo sana na unawatisha watu tu. Huna miaka zaidi 40's. Upo kwenye 30's hadi 40's mkuu. Siku zote nilikuwa najua unafanya utani ila leo ndio nimeprove rasmi.Hahaha............nimeamua kuwa -bless Vijana picha ya Babu yao ya Mwaka 71's 😜
Kwa sisi watu wazima, tunaziona na kutambua umri wa mtu kwa kuangalia vitu vidogo vidogo.View attachment 2935138
Tunapowaambia tumekula chumvi nyingi ni kweli tunamaanisha ........
Picha ya Mwaka 71's hiyo 😜
Hello Friday 🥂
Hata 40 hajafika 🤣🤣🤣Kwa sisi watu wazima, tunaziona na kutambua umri wa mtu kwa kuangalia vitu vidogo vidogo.
Ndevu za mtu mwenye miaka 30's na kitambi cha mtu mwenye 30's to 40's. Upo kwenye umri wa 30's to 40. Hujavuka 40's mkuu. Dogo sana wewe.
Sawa sawa umepita mule mule..ila kwakua ni JF acha tumkubalie yeye ni muzee..hahahahahaha..ila ma master tulishaona hiliKwa sisi watu wazima, tunaziona na kutambua umri wa mtu kwa kuangalia vitu vidogo vidogo.
Ndevu za mtu mwenye miaka 30's na kitambi cha mtu mwenye 30's to 40's. Upo kwenye umri wa 30's to 40. Hujavuka 40's mkuu. Dogo sana wewe.
Hahahahaha...Hata 40 hajafika 🤣🤣🤣
Umeona eeh ..hahahahahaha...Kwa ulivyoviacha hivyo vindevu hapo kwenye picha, we bado dogo sana na unawatisha watu tu. Huna miaka zaidi 40's. Upo kwenye 30's hadi 40's mkuu. Siku zote nilikuwa najua unafanya utani ila leo ndio nimeprove rasmi.
Picha ya Mwaka 71's hiyo Mkuu 😅Kwa sisi watu wazima, tunaziona na kutambua umri wa mtu kwa kuangalia vitu vidogo vidogo.
Ndevu za mtu mwenye miaka 30's na kitambi cha mtu mwenye 30's to 40's. Upo kwenye umri wa 30's to 40. Hujavuka 40's mkuu. Dogo sana wewe.
Na wewe umeamua kunicheka Mkuu? 😅😅Umeona eeh ..hahahahahaha...
Kwamba mlishajua kitambo Mzee miye nilikuwa naleta picha za ma lastborn wangu 😜Sawa sawa umepita mule mule..ila kwakua ni JF acha tumkubalie yeye ni muzee..hahahahahaha..ila ma master tulishaona hili
😅😅🙌Hata 40 hajafika 🤣🤣🤣
Mkuu, Wazee wakikosea huwa wanaambiwa peke yao wakiwa pembeni........🤗Kwa ulivyoviacha hivyo vindevu hapo kwenye picha, we bado dogo sana na unawatisha watu tu. Huna miaka zaidi 40's. Upo kwenye 30's hadi 40's mkuu. Siku zote nilikuwa najua unafanya utani ila leo ndio nimeprove rasmi.