Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,842
- 57,489
Naona umeamua kumpa Ulinzi Daktari wetu 🤗
Naona umeamua kumpa Ulinzi Daktari wetu 🤗
Ndugu zetu akina Shimba ya Buyenze Kwa msosi huo atasema unamwongezea njaa 😜Karibu breakfast View attachment 2935846
Asante
Kweli tupu. Huo mlo michosho tupu. Hapa nilipo ndiyo nimemaliza kupiga kiugali na kibulanga. Sabato itakwenda vizuri tu!Ndugu zetu akina Shimba ya Buyenze Kwa msosi huo atasema unamwongezea njaa 😜
Hahaha..........Mwaka Jana nilipoenda Kijijini walinishangaa eti nimeshindwa kumaliza Ugali robo peke yangu, wanasema hivi hata nguvu za kuzalisha Wanawake utakuwa nazo kweli kama kaugali haka kanakushinda kumaliza Yego?Kweli tupu. Huo mlo michosho tupu. Hapa nilipo ndiyo nimemaliza kupiga kiugali na kibulanga. Sabato itakwenda vizuri tu!
Hahahahahaha...mzee unanidanganya ni master wa hivi vitu nilisomea Algeria huko..Kwamba mlishajua kitambo Mzee miye nilikuwa naleta picha za ma lastborn wangu 😜
Anawaokotaga kweli humu. Naonaga babu, babu. Nikajua ni mtu mzima, kumbe dogo la juzi tu.Sawa sawa umepita mule mule..ila kwakua ni JF acha tumkubalie yeye ni muzee..hahahahahaha..ila ma master tulishaona hili
Hahahahahahaha...Babu limempendeza lkn sio mbaya ..JF tuko kufurahi zaidi..Anawaokotaga kweli humu. Naonaga babu, babu. Nikajua ni mtu mzima, kumbe dogo la juzi tu.
Njoo unywe bia
Fanta lagerNjoo unywe bia
Nilijua pizza magarita🥂
Safari 😂Nilijua pizza magarita
Picha chips😂Nilijua pizza magarita
Hahahahahaha...umetishaPicha chips😂
Safari lagerSafari 😂
Angalia usigongwe na Nyoka💚🌿