Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,282
- 95,570
Safari lagerSafari 😂
Fanta orange lager
Safari lagerSafari 😂
Angalia usigongwe na Nyoka💚🌿
Ni sehemu salama kabisaAngalia usigongwe na Nyoka
Mmefanya nirudi chimbo nianze kuwaletea Picha za enzi za Uhuru tu, inaonekana picha za 71 hamzitaki kabisa 😜Hahahahahaha...mzee unanidanganya ni master wa hivi vitu nilisomea Algeria huko..
Hahahahahaha..labda hizo kdgMmefanya nirudi chimbo nianze kuwaletea Picha za enzi za Uhuru tu, inaonekana picha za 71 hamzitaki kabisa 😜
Huyo Mkuu ana bahati siye tuliyozaliwa enzi za Ukoloni hatukuwa tunapewa Vyeti vya Kuzaliwa, vinginevyo ningemletea aone vile tumekula chumvi nyingi 🤗Hahahahahahaha...Babu limempendeza lkn sio mbaya ..JF tuko kufurahi zaidi..
Najua za hivyo hataweza kubisha as ataniona niko na Wakereketwa wenzangu wa iliyokuwa TANU miaka ile 😜Hahahahahaha..labda hizo kdg
Hahahahaha za hivyo hata mie naeza kuwepo ujueNajua za hivyo hataweza kubisha as ataniona niko na Wakereketwa wenzangu wa iliyokuwa TANU miaka ile 😜
Hahahahaha..wala NIDA haujapata badoHuyo Mkuu ana bahati siye tuliyozaliwa enzi za Ukoloni hatukuwa tunapewa Vyeti vya Kuzaliwa, vinginevyo ningemletea aone vile tumekula chumvi nyingi 🤗
Mkuu una bahati tuliozaliwa zamani hatuna vyeti vya Kuzaliwa, vinginevyo ningekuletea hapa uone vile tumekula Chumvi nyingi 😜Anawaokotaga kweli humu. Naonaga babu, babu. Nikajua ni mtu mzima, kumbe dogo la juzi tu.
Hahaha...............itakuwa hatari hiyo 😅Hahahahaha za hivyo hata mie naeza kuwepo ujue
NIDA ndiyo wapo kwenye mpango wa kutumia Carbon 14 kuweza kutambua umri wangu.......maana Wazee wengi huwa tunasahau Mwaka tuliozaliwa 🤗Hahahahaha..wala NIDA haujapata bado
Hahahahaha..wafanye haraka wawapatie NIDA na nyieNIDA ndiyo wapo kwenye mpango wa kutumia Carbon 14 kuweza kutambua umri wangu.......maana Wazee wengi huwa tunasahau Mwaka tuliozaliwa 🤗
Huna numero yake telephone?
Nikajua ni mzee mwenzangu kweli, kumbe ni katoto kadogo hata 40 hakana🤣🤣NIDA ndiyo wapo kwenye mpango wa kutumia Carbon 14 kuweza kutambua umri wangu.......maana Wazee wengi huwa tunasahau Mwaka tuliozaliwa 🤗
Ni maombi yangu Kila Siku na sisi Wazee watukumbuke 🤗Hahahahaha..wafanye haraka wawapatie NIDA na nyie
😅😅 Vijana wameona picha ya lastborn wangu wamedhani ni MimiNikajua ni mzee mwenzangu kweli, kumbe ni katoto kadogo hata 40 hakana🤣🤣
Mkuu, Tresor Mandala, huyu dogo anatuchukuliaje?🤣
Itakuwa ni mzee kweli sema utakuta pombe hanywi na anazingatia taratibu zote za mlo kamili.Nikajua ni mzee mwenzangu kweli, kumbe ni katoto kadogo hata 40 hakana🤣🤣
Mkuu, Tresor Mandala, huyu dogo anatuchukuliaje?🤣
Hakuna mzee hapo mkuu, huoni picha zake kidevu kibichi ndio kinaanza kuota ndevu.🤣Itakuwa ni mzee kweli sema utakuta pombe hanywi na anazingatia taratibu zote za mlo kamili.