Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,842
- 57,491
Amen Mkuu 🙏Hahahahaha..safi sana...inapendeza
Amen Mkuu 🙏Hahahahaha..safi sana...inapendeza
Kabiiiiiiiiiisa babu uzi usipoe usiboe huu!Hahaha....tunajaribu kuupa uhai Uzi wetu wa Selfika.
Naona Vijana wamekuwa busy kidogo na utafutaji, hivyo Babu yao nimeamua kuwalindia kidogo 😜
Nami nimeshavaa miwani yangu ya macho kuweza kushuhudia self yake 😅Anatudanyanya huyu mzee gani aonekana yanki hivo😁!
Haya nawe fanya manuva uubles mchana wetu mkuu leo tupia ya juu 🤠
Amen Mjukuu 🙏Kabiiiiiiiiiisa babu uzi usipoe usiboe huu!
Wabheja sana kuuactivate uzi
Namna hio Trezo nae atubless itapendeza sana kuchangamsha uziNami nimeshavaa miwani yangu ya macho kuweza kushuhudia self yake 😅
Ndiyo nasubiri hapa kuona picha yakeNamna hio Trezo nae atubless itapendeza sana
Wengi walipewa Onyo, hivyo nategemea wakija watachangia Kwa nidhamu.Uzi umefinguliwa. Mje tena msutane ufungwe tena.
Sure babu.Wengi walipewa Onyo, hivyo nategemea wakija watachangia Kwa nidhamu.
Wanasema jambo lolote bila kiasi huwa ni Vurugu
Hakika Mjukuu 🤗Sure babu.
Hahahahaha....nilishawa wa bless uzi uliporudishwaAnatudanyanya huyu mzee gani aonekana yanki hivo😁!
Haya nawe fanya manuva uubles mchana wetu mkuu leo tupia ya juu 🤠
Tuliona . Leo weka tofauti na viatu/ miguuHahahahaha....nilishawa wa bless uzi uliporudishwa
Hahahahaha..tofauti na hizo sinaTuliona . Leo weka tofauti na viatu/ miguu
Sema hujaamua tu. Basi fureshi✌️Hahahahaha..tofauti na hizo sina
Hahahahaha..inawezekana..✌️Sema hujaamua tu. Basi fureshi✌️
53Hivi unaweza kujua umri Kwa kuangalia vinyweleo?
Basi ukipata Umri huo ongeza na miaka 43 hivi maana picha ya Mwaka 71 hiyo 😅
GoodHalla