Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila selfikaa ya motooo, kila siku njegeka na wahusika wake wapyaaa,


Yaan inahama kutoka kwa huyu na kuhamia kwa yulee.
Woiiiiiiih.
Humu ukiona mwenzako ananyolewa hebu malizia πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….
 
Ila selfikaa ya motooo, kila siku njegeka na wahusika wake wapyaaa,


Yaan inahama kutoka kwa huyu na kuhamia kwa yulee.
Woiiiiiiih.
Selfika ianze kulipiwa, ishakuwa kijiwe cha ubuyu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Bora hujawapa watu hiyo access
Wewe endelea kukaza
Sema hata wakiamua hawakufikii hata πŸ˜‚πŸ˜‚

Ni upo vere hatari ...
Kama Kibatala eeh

 
Na cha ajabu UTI inalala na kuamkia huko ilipoanzia

JF niliisoma kabla ya kuanza hekaheka, humu ukitaka uonekane wa hovyo wape watu access ya kujua maisha yako umekwishaaa
Unaweza kuwapa wakajua, kumbe sio uhalisia.
shida km utawapaa afu ni kweliiii, hapo utajutraaaaaaaaaaaa.

mbombo ngafuuuu.
 
Aseee!
Sijawahi kuwa makini kusoma comments kama leo...asante usingizi kwa kukata,ningepitwa kwa hiki kidogo

Enwei,kama itawezekana naomba siku nyingine mfanye mchana jamani,ona sasa silali tena hadi mmalize πŸ€¦β€β™€οΈ

Ishu ya SATE nimetoka kapa
 
Unaweza kuwapa wakajua, kumbe sio uhalisia.
shida km utawapaa afu ni kweliiii, hapo utajutraaaaaaaaaaaa.

mbombo ngafuuuu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Huyu Tin yy alikutana nao kabisa mcity ndo kilichomponza, hiyo ya kuwapa haina ukweli unaweza kuwadanganya km mimi wanavyoniuliza unakaa wapi nawaambia bonyokwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kumbe nimetulia mkoani huku muda huu nimetega jaba nakinga maji ya mvua
 
kumekuchaaaaa
 
Alipata wapi?? Akati wee ulimpa password yako ya JF, na had watu wengine walokua wanakujia PM, alikua anawajibu yeye.
Kumbe aisee Mimi hata sijui kama aliwajbu huko pm .

Nilimpa eeh niliona watu wanasimanga sana huko pm kisa nipo nae .

Ila Jf πŸ˜‚ wasione couple ni wataleta maneno weh Hadi couple ife ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…