Selfika na JF: Snap it. Show it

ID yako ya mwanzi tazafal
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wewe kwanini ulimuita shemeji yako Sele?? Kwanza tuanzie hapo!!
Sema udugu tuache sio poa, nitaselfika na picha zako ooh..!!
 
wapiiiii uduguuuuu, wee lete hayo ya pembeniiiii watu tuserereeke nayooo, hata km wahusika ni sie wenyewee hatujari wala nn, tunadeveleka nayooo tyuuh.
 

Hayo nayo ni mapyaaa?????
πŸ€”πŸ€”!Leo hii miongozo kaachwa huko ndio kaja kunirudia? Bwahahahahahahahahah

Nacheka kwa dhaaaaaarrraaaaaaauuuuuuuuuuπŸ™„πŸ™„!
Naona hakuna mpya selfii ziendelee 🀳🀳🀳🀳🀳🀳🀳 Tomorrow ✌️
πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ’€πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄
 
Sasa ushoga upiii? Si ndo nasemwa huko pembeni mie ni shogaaa?
au sijasoma vizuri nkarudie upyaaaa?

Ugomvii wa wee na uduguuu, si ndo nashangaa hapa mnazozanaaa?

Wapiiiii JF.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Tin hii ya sate huwezi kuifuta ila ntakupa mbinu ya kuifanya isikuumize…..
Ungekuja kuclear hali ya hewa mapema yasingefika huku..!!!
Halafu mbona hukuliwa kwa sate ila inasemekana ulipewa nauli na kisses sa shida iko wapi??

Na ww ulimuamini mtu mwingine sana ndicho kilichokuponza, ww hiyo sate ichukulie km utani wala hutoumia popote….
Wenzio waliitwa wagonjwa wa ukimwi lkn hawajali maisha yanaendelea sembuse sate πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
selfikaa ya motoooo.
Watu kuliwa kwa 30, wengineee ni mashogaaa..

Bas full tafraniiiii. Woiiiiiiiii
Afu uli kiss ndan ya raum kwa 30k?

Mwagaa maubuyuu hayo, unabania ya nn??
 
Miongozo kaachwa bana kaamua akurudie goma lake la kale πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sasa utawezaje kuwapanga na shem mjeda??
Uduguu una balaa unapiga ndege wawili kwa jiwe moja!! Hapaumi?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wewe kwanini ulimuita shemeji yako Sele?? Kwanza tuanzie hapo!!
Sema udugu tuache sio poa, nitaselfika na picha zako ooh..!!
selfikaa uduguuu na pichaa zanguu.
Unitangaziee soko vzurii,

Ko kumbe kisa ni hivyo, ndo huko pembeni mkawa mnanijadiliiii?
 
Well this is too much kwa kweli
Wengine wanakuja wanasema yule dada hajajiua jamani hata mtu kakosea you can't talk bitter words like that ??

Kuna too much bullying from this thread and it's toxic kwa kweli .

No one is perfect , humu kuomba msamaha tayari you're considered weak .. or seeking sympathy .

Yaani isingekuwa rahisi kuja mim muda ule kwanza Uzi ulifungwa na sio my character kubishana na watu .

.
I'm not good at jokes ndo maana I'm taking it very serious .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…