Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe fall tu bhana maisha yenyew Yako wapi
Kunawengine tumeambiwa mapenzi tu duniani hapa Hela hatukujaaliwa na hili la Bure nalo litushindeπŸ˜€πŸ˜€
🀠🀠🀠🀠🀠🀠🀠🀠🀠🀠!
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣!
 
Tin nilikwambia humu hutakiwi kuogopa hata usemwe vipi!!
Ila umenikosha ulivyopita na visate vya wadau πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sasa fanya na miongozo umlie pesa, nasikia anazimwaga km njugu 🀣🀣🀣
Eehh jamani watu wanasema humu
Ni vile tu siku hizi nimekomaa

Ingekuwa zamani ningelazwa kwa kuwaza πŸ˜‚πŸ˜‚

Ah humu ndani mie sitaki ... Nitavila vya huku nje πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
😁😁😁😁Mtu mzima mwenzio huyo ujue😁😁
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hajiheshimu tatizo
Nuzu muache mama Miongozo bana ujue best yangu sema kazingua, ss hivi nishapotezea amani amani

Ujue mimi kuchambana na wanawake wenzangu sipendagi, napenda kuwakanda wanaume majeuri…
 
semeniiiii hayo ya pembeniiii tuyajueee.

Hili la mie kuitwa shogaaa, nalimudu na liko ndani ya uwezo wangu, mje na mapyaaa bhanaaa.

Uduguuu em fungukaaa ya huko pembeniii,


Kumekuchaaaaaaaaaa!!!!!!
 
Tin nilikwambia humu hutakiwi kuogopa hata usemwe vipi!!
Ila umenikosha ulivyopita na visate vya wadau πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sasa fanya na miongozo umlie pesa, nasikia anazimwaga km njugu 🀣🀣🀣
😁😁😁
 
Eehh jamani watu wanasema humu
Ni vile tu siku hizi nimekomaa

Ingekuwa zamani ningelazwa kwa kuwaza πŸ˜‚πŸ˜‚

Ah humu ndani mie sitaki ... Nitavila vya huku nje πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Humu ndani kusema na kusemwa kawaida, ila haipendezi kusemwa na mtu unayejua rafiki yako…. Ila nini ww endelea kula sate
Ushakuwa star DADA SATE πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Muulize huyo uduguuu wako anaeniuzia kesi zisizo zangu me and her were okay kabisa atajua mwenyewe yaliyomsibu hata hivo nishasema Baadhi ya marafiki ni wasenggge tu ndokama hivi! Sa huyo lamama nianze kumkandia kwa id mpya kisa nini kwa mfano?
Antonnia naomba nikupe ushauri, na nitakueleza kwa nn lamomy aligoma uwe best yake. Kuna kitu kimoja ambacho kilimshangaza sana na inawezekana hadi leo akawa bado anajiuliza ilikuaje ukafikia hatua ile. Hakuna mwanamke mwingine pia ambae angekukubali huo urafiki

Kubali nikupe huu ushauri, then kuna kitu utajifunza
 
Humu ndani kusema na kusemwa kawaida, ila haipendezi kusemwa na mtu unayejua rafiki yako…. Ila nini ww endelea kula sate
Ushakuwa star DADA SATE πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Aisee humu mnawezana wenyewe .

Ah hapana sio thirty mie πŸ˜…
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kwendraaaa
Unajua mi nna huruma haswaa kwa wanawake wenzangu, hapa nishaanza kulegeza ujue uduguuu
Hii ndio inanifanya hata shem wako akizingua namsamehe…….
Nimeona uduguu kapanic mpk kaniquote mara mbili πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
uduguuu mbona unakuja speed, em twende taratibuu, sasa nambembeleza huyo kwa kipiii?

Mie cna tatizo na yeye, na alisha sema mambo yake nimuachie mwenyewee, niko buzzy na yangu. Na amani inatawalaaaa.

Si kila mtu ana life lake bhanaaa??
 
Duuuuh kaziii ipooo. Hii mpyaa kabisaaaa.
Aseeeeh nyie mnajua mnachogombanaaa.

Mie ndo hata sikua najua chochote, nashangaaa hapaa. Mtamalizanaga wenyewee.

Wee ndiomara yako yakwanza kusikia habari za ushoga humu???

Mi nikajua kuna mpya arrrhhhhgggg!
πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€!


Mrare unono wapendwaaaaa kesho nayo siku Bado napenda kuselfika mwenzenu Mshana ameupambania sana huu uzi ✌️✌️✌️✌️✌️!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…